Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Jamani Great thinkers naomba niulize tutavumilia hadi lini upuuzi huu.MEREMETA,KAGODA,KIWIRA,UNUNUZI WA RADA,EPA,RICHMOND NA SASA DOWANS na ufisadi mwingine mwingi tu uliolighalimu Taifa bila mtu hata moja aliyehusika kuwajibishwa?Sasa kwa haya huo uwezo wetu mkubwa wa kufikiri upo wapi? "Yaliyo pita ni ndwele" pia "kombe halifunikwi na mwanaharamu hapiti" na wasilisha hoja na asanteni