Watanzania tuache kutaharuki: Nchi yetu ina uzoefu wa mema na machungu

Naamini masaa haya 24 yataamua na Watanzania wataweza kujua au kujuzwa kinachoendelea kuhusu afya ya Rais Magufuli. Mwanadamu ameumbwa kuishi na ameumbwa kufa. Katika haya mawili kuna kucheka na kulia, kuzaa na kuzaliwa, kuugua na kupona na magonjwa na afya.

Afya ya Rais ni jambo kubwa na zito na si jambo la kutolea tetesi ah kutangaza au kushadadia uvumi. Inasikitisha sana kuona watu ambao wanatajwa kama viongozi kufanya jambo hili kama nafasi fulani ya kufurahia au kushabikia. Kiongozi na mtu mzima anapaswa kupima sana kauli na maneno yenye kuweza kuleta au kufanya watu wataharuki.

Ni vizuri kujua kwa uhakika kabisa kuwa nchi yetu ina uwezo wa kutosha kuhimili habari mbaya kuhusu afya ya Raisi. Ni muhimu pia kujua kuwa Kuna taratibu za kikatiba zinazopaswa kufuatwa endapo mambo yoyote yanayoweza kusababisha Raisi ashindwe kuendelea na madaraka (ikiwemo ugonjwa, afya ya akili au mauti). Kama lolote linatokea Watanzania watajulishwa baada ya taratibu site kukamilisha na SIYO MAPEMA kabla ya hapo.

Hivyo basi, nawasihi na kuwaasa Watanzania wenzangu kutuliza mioyo na kusubiria taarifa rasmi (iwe mbaya, ya afueni, au nzuri) na tusieneze na kuongeza chumvi, limau na pilipili. Tumwombe Mungu kuwa lolote liwalo Taifa letu litapita salama na kuwa mwisho wa siku sote tutakuwa tumejiuliza maswali na tumejifunza kwa Yote.

Tusiishi kwa hofu na tetesi. Vyovyote vile ukweli utajulikana, tutulie na Tuache taratibu ziendelee. Kukiwa nabla kujulishwa tutajulishwa Nina uhakika Kuna watu wazima na wakongwe na wenye busara. Vijana wengi wametuangusha leo; inasikitisha.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Wabariki Watanzania Wote.
MATAGA bana, hofu yenu ni kukosa fursa,
 
Hatua zimeshachukuliwa sana, je zimefanikiwa kumalizia hiyo chuki? Chuki huondolewa kwa upendo na haki. Kinyume na hapo itakuwa ni kupoteza muda. Yaani jamaa kapandikiza chuki mpaka watu wamegoma kupiga kura, hapo bado hujiulizi tu.
Chuki haijapandikizwa na yoyote! Suala la kugoma kupiga kura, lilikuwepo na litaendelea kuwepo, hivi unajua mwaka 2010 asilimia 42 tu ya waliojiandikisha ndio waliopiga kura?? Huo mwaka napo chuki ilipandikizwa?
 
Kwani ile barua ya uteuzi hukuiona mwenzetu? Sie tunajua ni mzima kabisa na Jana kafanya uteuzi na utumbuaji, hofu yako ni nini? Nyie ndio mnaijaza jamii yaharuki maana msigwa alipost barua za kutumbua nyie mmekazana na upupu wenu.
Huo uteuzi haujafanyika jana. Ulifanyika siku hiyo hiyo usiku baada ya kuongea pale Nachingwea.
 
Naamini masaa haya 24 yataamua na Watanzania wataweza kujua au kujuzwa kinachoendelea kuhusu afya ya Rais Magufuli. Mwanadamu ameumbwa kuishi na ameumbwa kufa. Katika haya mawili kuna kucheka na kulia, kuzaa na kuzaliwa, kuugua na kupona na magonjwa na afya.

Afya ya Rais ni jambo kubwa na zito na si jambo la kutolea tetesi ah kutangaza au kushadadia uvumi. Inasikitisha sana kuona watu ambao wanatajwa kama viongozi kufanya jambo hili kama nafasi fulani ya kufurahia au kushabikia. Kiongozi na mtu mzima anapaswa kupima sana kauli na maneno yenye kuweza kuleta au kufanya watu wataharuki.

Ni vizuri kujua kwa uhakika kabisa kuwa nchi yetu ina uwezo wa kutosha kuhimili habari mbaya kuhusu afya ya Raisi. Ni muhimu pia kujua kuwa Kuna taratibu za kikatiba zinazopaswa kufuatwa endapo mambo yoyote yanayoweza kusababisha Raisi ashindwe kuendelea na madaraka (ikiwemo ugonjwa, afya ya akili au mauti). Kama lolote linatokea Watanzania watajulishwa baada ya taratibu site kukamilisha na SIYO MAPEMA kabla ya hapo.

Hivyo basi, nawasihi na kuwaasa Watanzania wenzangu kutuliza mioyo na kusubiria taarifa rasmi (iwe mbaya, ya afueni, au nzuri) na tusieneze na kuongeza chumvi, limau na pilipili. Tumwombe Mungu kuwa lolote liwalo Taifa letu litapita salama na kuwa mwisho wa siku sote tutakuwa tumejiuliza maswali na tumejifunza kwa Yote.

Tusiishi kwa hofu na tetesi. Vyovyote vile ukweli utajulikana, tutulie na Tuache taratibu ziendelee. Kukiwa nabla kujulishwa tutajulishwa Nina uhakika Kuna watu wazima na wakongwe na wenye busara. Vijana wengi wametuangusha leo; inasikitisha.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Wabariki Watanzania Wote.

Mengine nimekuelewa kwa kuwa ndivyo lakini acha kuwadhalilisha vijana.
 
Chuki haijapandikizwa na yoyote! Suala la kugoma kupiga kura, lilikuwepo na litaendelea kuwepo, hivi unajua mwaka 2010 asilimia 42 tu ya waliojiandikisha ndio waliopiga kura?? Huo mwaka napo chuki ilipandikizwa?

Kwa sasa hivi Sababu kubwa iliyopo ni hii ,huo Mwaka 2010 napo palikuwa na Sababu zake pia.
 
Vijana wengi wametia aibu mno! Tena wana justify kwa visababu vya kipumbavu. Hii nchi ina mizizi mirefu, chujio litafanya kazi yake na kutoa funzo.

Kwa taarifa yako huu uchuro unaoendelea humu mitandaoni, hata hiyo mizizi mirefu lazima ikae na huyo anayenyooshewa vidole na kuona wapi kwenye tatizo. Kama ni watu kuumizwa na hiyo mizizi mirefu wameshaumizwa sana hata kuuwawa. Lakini tatizo bado lipo kwani hawarekebishi chanzo cha tatizo, bali wanapambana na matokeo ya tatizo.

Ukitaka kujua kuna tatizo la msingi na muhusika mkuu wa tatizo anafumbiwa macho, rejea idadi ndogo iliyojitokeza kujiandikisha kupiga kura. Miaka minne sasa wafanya siasa ni wale wa upande wa rais, kisha wamejiaminisha wanapendwa sana na wananchi, imefika muda muafaka wa kujiandikisha ili kudhibitishwa kupendwa, watu wamesusia na wanamtaja yeye wazi wazi kuwa chanzo cha hiyo kususia. Imebidi ipikwe idadi kuwa ni 19m, hivi kweli kwa akili ya kawaida watu 19m kusiwepo na misiruru ya watu ndani ya siku 10? Hao unaowaita wa mizizi mirefu ukweli huu hawaoni, au hata ww unayependekeza hiyo hatua hujiulizi ukubwa wa tatizo? Ni kweli hujui chanzo cha tatizo au mambo ya mahaba niue.

Nikueleze sasa ujue ukweli kisha uamue kuwa upande wa ukweli au wa unafiki. Huyu mtu anapendwa na wachache wenye uelewa, na hao wengi inaosemekana, wao ni watu wa kuwekewa maneno mdomoni yaani bendera fuata upepo. Na ili tatizo la msingi liondoke ni vyema afaute katiba na kuacha uhuru unaokubalika kisheria na kikatiba na sio uhuru kwa mujibu wa utashi wake. Aache mifumo ifanye kazi yeye awe muhimizaji na asiwe yeye ndio mifumo. Hana busara wala staha hivyo usitarajie kuvuna nyanya kwenye shamba la bangi.
 
Mbona we ndio umetaharuki sie watz tuko poa, tunaaminia kazi ya Mwenyezi haiana makosa, Ila wakati huu ili tuwe na check and balance tunamuomba aingilie Kati watawala wa awamu hii wako juu mno, ni yeye tu aliyejuu
Naamini masaa haya 24 yataamua na Watanzania wataweza kujua au kujuzwa kinachoendelea kuhusu afya ya Rais Magufuli. Mwanadamu ameumbwa kuishi na ameumbwa kufa. Katika haya mawili kuna kucheka na kulia, kuzaa na kuzaliwa, kuugua na kupona na magonjwa na afya.

Afya ya Rais ni jambo kubwa na zito na si jambo la kutolea tetesi ah kutangaza au kushadadia uvumi. Inasikitisha sana kuona watu ambao wanatajwa kama viongozi kufanya jambo hili kama nafasi fulani ya kufurahia au kushabikia. Kiongozi na mtu mzima anapaswa kupima sana kauli na maneno yenye kuweza kuleta au kufanya watu wataharuki.

Ni vizuri kujua kwa uhakika kabisa kuwa nchi yetu ina uwezo wa kutosha kuhimili habari mbaya kuhusu afya ya Raisi. Ni muhimu pia kujua kuwa Kuna taratibu za kikatiba zinazopaswa kufuatwa endapo mambo yoyote yanayoweza kusababisha Raisi ashindwe kuendelea na madaraka (ikiwemo ugonjwa, afya ya akili au mauti). Kama lolote linatokea Watanzania watajulishwa baada ya taratibu site kukamilisha na SIYO MAPEMA kabla ya hapo.

Hivyo basi, nawasihi na kuwaasa Watanzania wenzangu kutuliza mioyo na kusubiria taarifa rasmi (iwe mbaya, ya afueni, au nzuri) na tusieneze na kuongeza chumvi, limau na pilipili. Tumwombe Mungu kuwa lolote liwalo Taifa letu litapita salama na kuwa mwisho wa siku sote tutakuwa tumejiuliza maswali na tumejifunza kwa Yote.

Tusiishi kwa hofu na tetesi. Vyovyote vile ukweli utajulikana, tutulie na Tuache taratibu ziendelee. Kukiwa nabla kujulishwa tutajulishwa Nina uhakika Kuna watu wazima na wakongwe na wenye busara. Vijana wengi wametuangusha leo; inasikitisha.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Wabariki Watanzania Wote.
 
Naamini masaa haya 24 yataamua na Watanzania wataweza kujua au kujuzwa kinachoendelea kuhusu afya ya Rais Magufuli. Mwanadamu ameumbwa kuishi na ameumbwa kufa. Katika haya mawili kuna kucheka na kulia, kuzaa na kuzaliwa, kuugua na kupona na magonjwa na afya.

Afya ya Rais ni jambo kubwa na zito na si jambo la kutolea tetesi ah kutangaza au kushadadia uvumi. Inasikitisha sana kuona watu ambao wanatajwa kama viongozi kufanya jambo hili kama nafasi fulani ya kufurahia au kushabikia. Kiongozi na mtu mzima anapaswa kupima sana kauli na maneno yenye kuweza kuleta au kufanya watu wataharuki.

Ni vizuri kujua kwa uhakika kabisa kuwa nchi yetu ina uwezo wa kutosha kuhimili habari mbaya kuhusu afya ya Raisi. Ni muhimu pia kujua kuwa Kuna taratibu za kikatiba zinazopaswa kufuatwa endapo mambo yoyote yanayoweza kusababisha Raisi ashindwe kuendelea na madaraka (ikiwemo ugonjwa, afya ya akili au mauti). Kama lolote linatokea Watanzania watajulishwa baada ya taratibu site kukamilisha na SIYO MAPEMA kabla ya hapo.

Hivyo basi, nawasihi na kuwaasa Watanzania wenzangu kutuliza mioyo na kusubiria taarifa rasmi (iwe mbaya, ya afueni, au nzuri) na tusieneze na kuongeza chumvi, limau na pilipili. Tumwombe Mungu kuwa lolote liwalo Taifa letu litapita salama na kuwa mwisho wa siku sote tutakuwa tumejiuliza maswali na tumejifunza kwa Yote.

Tusiishi kwa hofu na tetesi. Vyovyote vile ukweli utajulikana, tutulie na Tuache taratibu ziendelee. Kukiwa nabla kujulishwa tutajulishwa Nina uhakika Kuna watu wazima na wakongwe na wenye busara. Vijana wengi wametuangusha leo; inasikitisha.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Wabariki Watanzania Wote.
Inawezekana amelazwa Mirembe hospital?
 
Chuki haijapandikizwa na yoyote! Suala la kugoma kupiga kura, lilikuwepo na litaendelea kuwepo, hivi unajua mwaka 2010 asilimia 42 tu ya waliojiandikisha ndio waliopiga kura?? Huo mwaka napo chuki ilipandikizwa?

Hiyo 2010 asilimia 42 ndio iliyopiga kura, je waliojindikisha ni wangapi? mbona umeiruka 2015 au haitabeba utetezi wako? Huo mwaka uliotaja watu waliongezewa muda wa kujiandikisha kisa watu ni wachache? Wakati huo watu walisema hawatashiriki uchaguzi wazi wazi kisa box la kura linanajisiwa? Je idadi ya wapiga kura huo mwaka ilipikwa kama sasa, na ni kwanini ipikwe sasa kama huko nyuma chuki ilikuwepo na idadi haikupikwa? Kwa sasa tunaaminishwa watu wanaikubali sana ccm pamoja na rais, mbona hayo hayajathibitika kupitia uchaguzi huu? Je kuna haja ya kuendelea kuonea wapinzani kupitia madaraka ya rais, huku ikiwa imedhihirika wazi kuwa rais hana uungwaji mkono kiasi tunachoongopewa?
 
Kamanda Diwani kafanya kazi yake vizuri
'It was just an update on software' on the process tumegundua watu wazito sana wakifurahia kifo cha Rais wetu mpendwa
Hafi mtu hapa mpaka 2025
Kama wwulivyouraia cha lisu na mkaumbuka
 
Hiyo 2010 asilimia 42 ndio iliyopiga kura, je waliojindikisha ni wangapi? mbona umeiruka 2015 au haitabeba utetezi wako? Huo mwaka uliotaja watu waliongezewa muda wa kujiandikisha kisa watu ni wachache? Wakati huo watu walisema hawatashiriki uchaguzi wazi wazi kisa box la kura linanajisiwa? Je idadi ya wapiga kura huo mwaka ilipikwa kama sasa, na ni kwanini ipikwe sasa kama huko nyuma chuki ilikuwepo na idadi haikupikwa? Kwa sasa tunaaminishwa watu wanaikubali sana ccm pamoja na rais, mbona hayo hayajathibitika kupitia uchaguzi huu? Je kuna haja ya kuendelea kuonea wapinzani kupitia madaraka ya rais, huku ikiwa imedhihirika wazi kuwa rais hana uungwaji mkono kiasi tunachoongopewa?
Kati ya waliojiandikisha milion 20, ni asilimia 42 tu ndio walipiga kura unaa za tena ngonjera! Eleza sababu kwa nn asilimia 58 iligoma kupiga kura??
 
Lengo langu ni kutaka watu wapunguze kusambaza tetesi hasa Za mambo mazito. Maana chumvi zinazoongezwa njiani hadi unaogopa..maana tangu asubuhi hadi jana jioni taarifa zimekolezwa hadi hujui ipi inakaribiana na ukweli. Si, why not just wait. Hakuna jipya chini ya jua...
Mkuu, sasa ile mipango ya kumalizia Nyumba yako itakuwaje sasa 2020, maana naona supu inataka kuwekwa nazi,
 
Back
Top Bottom