Kwa hiki kilichototea bungeni. Je, kwa ubabe huu tunahitaji katiba mpya au Watanzania tuamke tudai nchi yetu?

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
Habari jf,

Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo .

Bil 47 za posho zimepitishwa kwa nguvu ,watanzania tuko kimya hivi tunashida gani ? Hawa CCM watakuja mitaani ambako ndiko tuko walipa kodi wa hizo bilioni 47 za mkopo .

Kibaya Zaidi kwa maslahi ya muda mfupi watanzania tutavaa sare zao, kofia na kuunga juhudi hiki Chama kirudi tena hivi tuna shida gani?

Je, tuendelee kuomba katiba au tuangalie namna ya kutoa hii CCM?

Je nini kifanyike ? Tulipe hizo bil 47 ,tuache kulipa kodi na kwenda makazini? Au tuache kushirikiana kwa jambo lolote na CCM ? Au tuwasubiri uchaguzi 2025 tuwatoe?

 
Ccm mbere kwa mbere..wapinzani walitucherewesha sana
Habari jf,

Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo .

Bil 47 za posho zimepitishwa kwa nguvu ,watanzania tuko kimya hivi tunashida gani ? Hawa CCM watakuja mitaani ambako ndiko tuko walipa kodi wa hizo bilioni 47 za mkopo .

Kibaya Zaidi kwa maslahi ya muda mfupi watanzania tutavaa sare zao, kofia na kuunga juhudi hiki Chama kirudi tena hivi tuna shida gani?

Je, tuendelee kuomba katiba au tuangalie namna ya kutoa hii CCM?

Je nini kifanyike ? Tulipe hizo bil 47 ,tuache kulipa kodi na kwenda makazini? Au tuache kushirikiana kwa jambo lolote na CCM ? Au tuwasubiri uchaguzi 2025 tuwatoe?


....
 
Habari jf,

Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo .

Bil 47 za posho zimepitishwa kwa nguvu ,watanzania tuko kimya hivi tunashida gani ? Hawa CCM watakuja mitaani ambako ndiko tuko walipa kodi wa hizo bilioni 47 za mkopo .

Kibaya Zaidi kwa maslahi ya muda mfupi watanzania tutavaa sare zao, kofia na kuunga juhudi hiki Chama kirudi tena hivi tuna shida gani?

Je, tuendelee kuomba katiba au tuangalie namna ya kutoa hii CCM?

Je nini kifanyike ? Tulipe hizo bil 47 ,tuache kulipa kodi na kwenda makazini? Au tuache kushirikiana kwa jambo lolote na CCM ? Au tuwasubiri uchaguzi 2025 tuwatoe?


Mwenyekiti ametisha😅😅😅
 
Habari jf,

Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo .

Bil 47 za posho zimepitishwa kwa nguvu ,watanzania tuko kimya hivi tunashida gani ? Hawa CCM watakuja mitaani ambako ndiko tuko walipa kodi wa hizo bilioni 47 za mkopo .

Kibaya Zaidi kwa maslahi ya muda mfupi watanzania tutavaa sare zao, kofia na kuunga juhudi hiki Chama kirudi tena hivi tuna shida gani?

Je, tuendelee kuomba katiba au tuangalie namna ya kutoa hii CCM?

Je nini kifanyike ? Tulipe hizo bil 47 ,tuache kulipa kodi na kwenda makazini? Au tuache kushirikiana kwa jambo lolote na CCM ? Au tuwasubiri uchaguzi 2025 tuwatoe?


Haina tofauti na kulazimishwa covid 19,bila ridhaa ya chama,ila kwa nguvu ya kijikundi fulani😂
 
Mnaisingizia katiba bure.
Tatizo tunateua wajinga na wapumbavu
Tatizo la Tanzania wala sio katiba mpya.

Nashangaa sana watu wanavyoacha ukweli huu na kuangaika na neno 'katiba mpya' kila siku.

Tarizo kubwa la Tanzania ni viongozi wakiongozwa na rais kutokuheshimu katiba.

Kwani hii katiba ya sasa imeandikwa wapi kwamba mikutano ya vyama vya siasa ni marufuku baada ya uchaguzi mkuu kuisha?

Hakuna popote palipoandikwa hivyo.

Wapi pameandikwa kuandamana si haki ya raia kwani kunamtoa rais kwenye kupanga maendeleo ya nchi?

Hakuna popote palipoandikwa hivyo.

Hayo mambo mawili yote wakati wa jiwe huku akijua yameruhusiwa na katiba aliyapiga marufuku na hakuna aliyesimama kuzungumza wala kuleta fyoko.

Wachache waliojaribu kukemea katiba ilizidi kuvunjwa ili kuwanyoosha kimabavu.

Tatizo la Tanzania ni usimamiaji wa hizo sheria.

Viongozi hawana muda kabisa wa kufuata katiba na sheria hasa linapokuja suala la maslahi yao kuguswa.

Wananchi tusipoamka na kukubali kuumia hakuna la maana litakalopatikana hata ikija katiba ya namna gani.

Kenya wana katiba bora kuliko sisi lakini unaona wanavyojitolea hata kufa kwa maandamano yasiyo na uoga ndani yake.

Sisi tuwaoga mno na viongozi wanalitambua hilo na ndiyo wanachojivunia.

Wanajua hata wakiisigina katiba hakuna wa kumuwajibisha.

Tuendelee tu kuumia lakini kwa katiba hata ije iliyoandikwa mbinguni haitakuwa na manufaa yoyote.
 
Habari jf,

Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo .

Bil 47 za posho zimepitishwa kwa nguvu ,watanzania tuko kimya hivi tunashida gani ? Hawa CCM watakuja mitaani ambako ndiko tuko walipa kodi wa hizo bilioni 47 za mkopo .

Kibaya Zaidi kwa maslahi ya muda mfupi watanzania tutavaa sare zao, kofia na kuunga juhudi hiki Chama kirudi tena hivi tuna shida gani?

Je, tuendelee kuomba katiba au tuangalie namna ya kutoa hii CCM?

Je nini kifanyike ? Tulipe hizo bil 47 ,tuache kulipa kodi na kwenda makazini? Au tuache kushirikiana kwa jambo lolote na CCM ? Au tuwasubiri uchaguzi 2025 tuwatoe?


Hiyo nchi yako unamdai nani, kwani sahivi unaishi wapi.
 
Habari jf,

Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo .

Bil 47 za posho zimepitishwa kwa nguvu ,watanzania tuko kimya hivi tunashida gani ? Hawa CCM watakuja mitaani ambako ndiko tuko walipa kodi wa hizo bilioni 47 za mkopo .

Kibaya Zaidi kwa maslahi ya muda mfupi watanzania tutavaa sare zao, kofia na kuunga juhudi hiki Chama kirudi tena hivi tuna shida gani?

Je, tuendelee kuomba katiba au tuangalie namna ya kutoa hii CCM?

Je nini kifanyike ? Tulipe hizo bil 47 ,tuache kulipa kodi na kwenda makazini? Au tuache kushirikiana kwa jambo lolote na CCM ? Au tuwasubiri uchaguzi 2025 tuwatoe?

Hatari sana.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Habari jf,

Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo .

Bil 47 za posho zimepitishwa kwa nguvu ,watanzania tuko kimya hivi tunashida gani ? Hawa CCM watakuja mitaani ambako ndiko tuko walipa kodi wa hizo bilioni 47 za mkopo .

Kibaya Zaidi kwa maslahi ya muda mfupi watanzania tutavaa sare zao, kofia na kuunga juhudi hiki Chama kirudi tena hivi tuna shida gani?

Je, tuendelee kuomba katiba au tuangalie namna ya kutoa hii CCM?

Je nini kifanyike ? Tulipe hizo bil 47 ,tuache kulipa kodi na kwenda makazini? Au tuache kushirikiana kwa jambo lolote na CCM ? Au tuwasubiri uchaguzi 2025 tuwatoe?


Waliambiwa jambo lile litarudishwa kamati ya bajet kule bajet ilikotengenezwa kufanya marekebisho, we ulitaka waendelee kubishana pale bungeni kuonesha ufundi wa ubishi? Ingebadilisha nini hata wangekaa wiki nzima kubishana? Serikali ya mama yetu ni sikivu tuiamini wametuambia watafanya marekebisho kwenye kamati ya bajeti kabla bunge halijamaliza muda wake. Tuwe na positive attitude, wabunge waliona mapungufu serikali imekubali kuyarekebisha mnataka tuwafanyeje tena? Yaani watanzania walivyo na roho mbaya wakikupata na upungufu flani wanataka sijui wakufanyeje. Hata kingeingia chama gani watu ni hawa hawa mapungufu yataendelea kuwepo
 
Habari jf,

Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo .

Bil 47 za posho zimepitishwa kwa nguvu ,watanzania tuko kimya hivi tunashida gani ? Hawa CCM watakuja mitaani ambako ndiko tuko walipa kodi wa hizo bilioni 47 za mkopo .

Kibaya Zaidi kwa maslahi ya muda mfupi watanzania tutavaa sare zao, kofia na kuunga juhudi hiki Chama kirudi tena hivi tuna shida gani?

Je, tuendelee kuomba katiba au tuangalie namna ya kutoa hii CCM?

Je nini kifanyike ? Tulipe hizo bil 47 ,tuache kulipa kodi na kwenda makazini? Au tuache kushirikiana kwa jambo lolote na CCM ? Au tuwasubiri uchaguzi 2025 tuwatoe?


Nadhani ni wakati wa kufanya tathmini,tafakuri ya lengo,dhima,mamlaka na kazi za bunge kwa ujumla?

✅Je kweli bunge lina mamlaka linalopaswa kuwa nayo?

✅Je wanaoitwa wabunge kweli wanastahiri kuwa wabunge kwa muktadha wa uwezo,ufahamu,nidhamu,Intergrity,credibility?

✅Gharama tunazotumia kuendesha bunge na matokeo tunayopata ni sahihi? Value for money?

✅Je ni kweli wabunge wanawakirisha wananchi ktk utendaji wao wa majukumu?..

✅Je wabunge wapo accountable kwa wananchi?

✅Kiuhasilisia,Wabunge wanaguswa na maslahi ya nchi na taifa?
 
Tatizo la Tanzania wala sio katiba mpya.

Nashangaa sana watu wanavyoacha ukweli huu na kuangaika na neno 'katiba mpya' kila siku.

Tarizo kubwa la Tanzania ni viongozi wakiongozwa na rais kutokuheshimu katiba.

Kwani hii katiba ya sasa imeandikwa wapi kwamba mikutano ya vyama vya siasa ni marufuku baada ya uchaguzi mkuu kuisha?

Hakuna popote palipoandikwa hivyo.

Wapi pameandikwa kuandamana si haki ya raia kwani kunamtoa rais kwenye kupanga maendeleo ya nchi?

Hakuna popote palipoandikwa hivyo.

Hayo mambo mawili yote wakati wa jiwe huku akijua yameruhusiwa na katiba aliyapiga marufuku na hakuna aliyesimama kuzungumza wala kuleta fyoko.

Wachache waliojaribu kukemea katiba ilizidi kuvunjwa ili kuwanyoosha kimabavu.

Tatizo la Tanzania ni usimamiaji wa hizo sheria.

Viongozi hawana muda kabisa wa kufuata katiba na sheria hasa linapokuja suala la maslahi yao kuguswa.

Wananchi tusipoamka na kukubali kuumia hakuna la maana litakalopatikana hata ikija katiba ya namna gani.

Kenya wana katiba bora kuliko sisi lakini unaona wanavyojitolea hata kufa kwa maandamano yasiyo na uoga ndani yake.

Sisi tuwaoga mno na viongozi wanalitambua hilo na ndiyo wanachojivunia.

Wanajua hata wakiisigina katiba hakuna wa kumuwajibisha.

Tuendelee tu kuumia lakini kwa katiba hata ije iliyoandikwa mbinguni haitakuwa na manufaa yoyote.
kwa hiyo maandmano ndiyo shughuli ya maendeleo? Hivi mkiachwa mnaandamana hata kila siku mtabadilisha nini? Unato mfano wa watu wapumbavu km wakenya? we hutaona shida kutumia mfano hata wa kichaa anayeokota makopo. Toa mifano ya nchi zilizoendelea km Marekani, je kuna maandamano ya kijingajinga baada ya uchaguzi? Acheni upumbavu fanyeni kazi, mbona wakulima hawa muda huo wa kijinga nyakati zao za kilimo? Wakulima ni mfano mzuri wa wachapakazi nchi hii hawana malalamiko ya kipuuzi ya kila siku, eti wenye baa wagoma, waandamana, wafanyabiashara wafunga maduka, wanamfungia nani? Ingekua enzi ya jiwe angewanyanganya na leseni kabisa, na najua wasingejaribu, ndiyo eneo unaweza kumkumbuka magu km kiongozi mkuu wa nchi. Mambo ya kipuuzi mengine hayawezi kujitokeza.
 
Habari jf,

Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo .

Bil 47 za posho zimepitishwa kwa nguvu ,watanzania tuko kimya hivi tunashida gani ? Hawa CCM watakuja mitaani ambako ndiko tuko walipa kodi wa hizo bilioni 47 za mkopo .

Kibaya Zaidi kwa maslahi ya muda mfupi watanzania tutavaa sare zao, kofia na kuunga juhudi hiki Chama kirudi tena hivi tuna shida gani?

Je, tuendelee kuomba katiba au tuangalie namna ya kutoa hii CCM?

Je nini kifanyike ? Tulipe hizo bil 47 ,tuache kulipa kodi na kwenda makazini? Au tuache kushirikiana kwa jambo lolote na CCM ? Au tuwasubiri uchaguzi 2025 tuwatoe?


Elimu ya Uraia juu haki
kwa hiyo maandmano ndiyo shughuli ya maendeleo? Hivi mkiachwa mnaandamana hata kila siku mtabadilisha nini? Unato mfano wa watu wapumbavu km wakenya? we hutaona shida kutumia mfano hata wa kichaa anayeokota makopo. Toa mifano ya nchi zilizoendelea km Marekani, je kuna maandamano ya kijingajinga baada ya uchaguzi? Acheni upumbavu fanyeni kazi, mbona wakulima hawa muda huo wa kijinga nyakati zao za kilimo? Wakulima ni mfano mzuri wa wachapakazi nchi hii hawana malalamiko ya kipuuzi ya kila siku, eti wenye baa wagoma, waandamana, wafanyabiashara wafunga maduka, wanamfungia nani? Ingekua enzi ya jiwe angewanyanganya na leseni kabisa, na najua wasingejaribu, ndiyo eneo unaweza kumkumbuka magu km kiongozi mkuu wa nchi. Mambo ya kipuuzi mengine hayawezi kujitokeza.
kwa hiyo maandmano ndiyo shughuli ya maendeleo? Hivi mkiachwa mnaandamana hata kila siku mtabadilisha nini? Unato mfano wa watu wapumbavu km wakenya? we hutaona shida kutumia mfano hata wa kichaa anayeokota makopo. Toa mifano ya nchi zilizoendelea km Marekani, je kuna maandamano ya kijingajinga baada ya uchaguzi? Acheni upumbavu fanyeni kazi, mbona wakulima hawa muda huo wa kijinga nyakati zao za kilimo? Wakulima ni mfano mzuri wa wachapakazi nchi hii hawana malalamiko ya kipuuzi ya kila siku, eti wenye baa wagoma, waandamana, wafanyabiashara wafunga maduka, wanamfungia nani? Ingekua enzi ya jiwe angewanyanganya na leseni kabisa, na najua wasingejaribu, ndiyo eneo unaweza kumkumbuka magu km kiongozi mkuu wa nchi. Mambo ya kipuuzi mengine hayawezi ku

Habari jf,

Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo .

Bil 47 za posho zimepitishwa kwa nguvu ,watanzania tuko kimya hivi tunashida gani ? Hawa CCM watakuja mitaani ambako ndiko tuko walipa kodi wa hizo bilioni 47 za mkopo .

Kibaya Zaidi kwa maslahi ya muda mfupi watanzania tutavaa sare zao, kofia na kuunga juhudi hiki Chama kirudi tena hivi tuna shida gani?

Je, tuendelee kuomba katiba au tuangalie namna ya kutoa hii CCM?

Je nini kifanyike ? Tulipe hizo bil 47 ,tuache kulipa kodi na kwenda makazini? Au tuache kushirikiana kwa jambo lolote na CCM ? Au tuwasubiri uchaguzi 2025 tuwatoe?


Elimu juu ya haki za Raia na Wajibu Mihimili ya Dola kwa Raia itolewe katika ngazi zote. Hayo yote lazima yasemwe na KATIBA . Katiba ndiyo inayotoa dira nini kifanyike na mwelekeo ni upi.
1. Kwa Mfano nini umhimu wa uchanguzi wa viongozi wa Kisiasa
2. Wajibu wao ni nini wanapochagulia
3. Wakishindwa kutimiza majukumu yao wanawajibishwa vipi?
4. Viongozi wa chaguliwa ni.watumishi wa Wananchi na siyo mabwana. Nk nk
Bila katiba inayompa nguvu Raia mambo kama hayo ya ubabe Bungeni yataendelea
 
Back
Top Bottom