Watanzania ni wakati wa kuondokana na CCM la sivyo tutakuwa tumechelewa

Chama ambacho mikutano bila kuhonga elfu tano tano bila wasanii hakijazi watu hizi hela zinatoka wapi kama sio wizi tu ccm imechokwa imebaki kutegemea dola tu
 
Thubutu. Huku ambako wagombea wa chama tawala wanapita bila kupingwa karibia nchi nzima?
Zipo nchi za kutolea mfano lakini sio USA...
USA Wana lobbyists industry...
Wana electrol college etc.... bi-partisan media...etc..
 
Viongozi ndio wanachafua chama.

Nyinyi mnataka chama kingine kichukuwe hayo madalaka sababu mna uchu wa kutaka madalaka hayo.

Analalamika mtoto wake ni JAMBAZI ila akishikwa na shida ndio hukimbilia kwa huyo jambazi...Huku mtaani anatuambia NAMCHUKIA SANA MTOTO WANGU.

CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) mbele kwa mbele
 
Katiba mbovu

Uchumi mbovu

Utendaji mbovu

Mikataba mibovu

Mipango miji mibovu

Mifumo ya haki mibovu

Uongozi na usimamizi mbovu

Haya yote ndio matunda ya CCM.

Watanzania huu ni wakati wa kuondokana na CCM la sivyo tutakuwa tumechelewa.
Hivi ukiondokana na CCM utaweza kuishi.
Unadhani utaishi kwa maisha hayo unayoishi sasa hivi kwa misheni town?

Unadhani utauziwa vyakula kwa mafungu
Unadhani utajenga kiholela kama sasa
Unadhani Afya itakuwa nafuu kama sasa?
 
Hii nchi tunamuhitaji Lissu kuongoza hili Taifa., ccm tukiwatoa ndani ya weeki moja tutajua mengi sana.
 
Katiba mbovu

Uchumi mbovu

Utendaji mbovu

Mikataba mibovu

Mipango miji mibovu

Mifumo ya haki mibovu

Uongozi na usimamizi mbovu

Haya yote ndio matunda ya CCM.

Watanzania huu ni wakati wa kuondokana na CCM la sivyo tutakuwa tumechelewa.
Jeshi labda litusaidie maana hàtuwawezi kwa wizi wa kura wamejipanga vizuri sana
 
Jeshi labda litusaidie maana hàtuwawezi kwa wizi wa kura wamejipanga vizuri sana
Jeshi sio kazi yake mbona rai tunatosha, hawa ukingoja hadi uchaguzi watakuwa wameuza nchi nzima hata ukiwatoa kazi bure wanatakiwa tuwachabgamkie faster kabla hawajauza nchi mzima

Kumbuka hawa jama ni wezi wa kura pia
 
Natabiri, kitatokea chama kipya chenye nguvu ambacho kitakua kinyume na utawala huu na kias flani kitakua na itikadi za JPM.

Hicho kitapendwa na wananchi na hatimaye kuchukua dora.!

Keep this Quote.

Subili tuendelee kutabili
 
Bila katiba mpya CCM haiwezi kuondoka madarakani. Ogopa sana kupambana na chama ambacho humo humo kuna Ikulu, Bunge, Mahakana, Majeshi yote na Tume ya Uchaguzi.

So ukipambana na CCM popote pale basi ujue unapambana na hivyo nyote 4 kwa pamoja.

Kazi ya kuanza nayo ni Kudai Katiba mpya, katiba itakayotokana na sisi wananchi.
 
Bila katiba mpya CCM haiwezi kuondoka madarakani. Ogopa sana kupambana na chama ambacho humo humo kuna Ikulu, Bunge, Mahakana, Majeshi yote na Tume ya Uchaguzi.

So ukipambana na CCM popote pale basi ujue unapambana na hivyo nyote 4 kwa pamoja.

Kazi ya kuanza nayo ni Kudai Katiba mpya, katiba itakayotokana na sisi wananchi.
Unategemea hao ccm watakubali wakupe katiba mpya ili uwatoa madarakani na kuwashitaki kwa wizi mali za Uma? Didhani kama ni wajinga

Hawa ccm tukitaka kuwatoa ni siku moja tu maandamano nchi mzima. Kisha tunamukea Lisu madarakani tunampa magizo atumie katiba hii ili ccm nao Waone uzuri wake.
 
Back
Top Bottom