Mkuu,
Jina ulilochagua poa tu. kwa kweli watanzania karibu wote ni Slave(s) wa CCM. Kule amerika kulikuwa na house slaves na farm slaves. Farm slaves walifika mahali waka-rebel. sasa sisi pia tuko katika hayo makundi mawili. Hili moja iko siku,kwa mwenendo wa ufisadi na ugumu wa maisha basi kuna dalili kuwa woga unaanza kupungua.
Jina ulilochagua poa tu. kwa kweli watanzania karibu wote ni Slave(s) wa CCM. Kule amerika kulikuwa na house slaves na farm slaves. Farm slaves walifika mahali waka-rebel. sasa sisi pia tuko katika hayo makundi mawili. Hili moja iko siku,kwa mwenendo wa ufisadi na ugumu wa maisha basi kuna dalili kuwa woga unaanza kupungua.