Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
Kila kukicha bora ya jana. Makali ya maisha yanaongezeka siku hadi siku.Umeme juu, mkaa haukamatiki, leo gesi ndio balaa. Nimeshangazwa sana na mfumuko wa bei kwenye nishati hii ya gesi, leo bei ni kg40 155000, kg15 58000 na kg 6 24000, tunaelekea wapi watz wenzangu? kwa mtindo huu tutamudu maisha?