Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
Sipingani na wewe mkuu lakini kwenye hii thread tuache uchama tujikite kwenye utaifaJanatu Firdaus,
Wewe ni Mgeni hapa jamvini hujamaliza hata Mwezi. Ni vyema ukafuatilia post na thread mbali mbali za Ritz kujua kile tunachozungumza. Huyu Mtu tunamjua vizuri sisi.