haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 481
- 135
Cha msingi ujumbe uliuelewa. Hata wewe unaherufi zinakushinda na hii inaitwa "LAFUDHI YA MAMA"/"MOTHER TANG" hii kurekebishika ni kazi kurekebishika
Mfano
Wasukuma/Wahaya/Wachaga/Wamakonde/Waarusha /n.k hata kama ni msomi/waziri/katibu mkuu/mkuu wa mkoa/n.k akiongea kiswahili unamjua kwa lafudhi yake japo maneno ni ya kiswahili
Na hii ni kwa kila kabila sio hayo tu
Mfano
Wasukuma/Wahaya/Wachaga/Wamakonde/Waarusha /n.k hata kama ni msomi/waziri/katibu mkuu/mkuu wa mkoa/n.k akiongea kiswahili unamjua kwa lafudhi yake japo maneno ni ya kiswahili
Na hii ni kwa kila kabila sio hayo tu