Watangazaji ITV wanaaibisha

Cha msingi ujumbe uliuelewa. Hata wewe unaherufi zinakushinda na hii inaitwa "LAFUDHI YA MAMA"/"MOTHER TANG" hii kurekebishika ni kazi kurekebishika
Mfano
Wasukuma/Wahaya/Wachaga/Wamakonde/Waarusha /n.k hata kama ni msomi/waziri/katibu mkuu/mkuu wa mkoa/n.k akiongea kiswahili unamjua kwa lafudhi yake japo maneno ni ya kiswahili
Na hii ni kwa kila kabila sio hayo tu
 
Cha msingi ujumbe uliuelewa. Hata wewe unaherufi zinakushinda na hii inaitwa "LAFUDHI YA MAMA"/"MOTHER TANG" hii kurekebishika ni NGUMU SANA
Mfano
Wasukuma/Wahaya/Wachaga/Wamakonde/Waarusha /n.k hata kama ni msomi/waziri/katibu mkuu/mkuu wa mkoa/n.k akiongea kiswahili unamjua kwa lafudhi yake japo maneno ni ya kiswahili
Na hii ni kwa kila kabila sio hayo tu
 
unachoongea ni kweli lakini kumbuka hata wazungu baadhi ya majina ya kiafrika yanawasumbua kutamka nao tuseme hawajasoma? Mkuu tofautisha neno na jina.
Daah..! Nimeipenda sana hii, sina nyongeza tena katika hili. Mkuu keshamaliza.
 
Cha msingi ujumbe uliuelewa. Hata wewe unaherufi zinakushinda na hii inaitwa "LAFUDHI YA MAMA"/"MOTHER TANG" hii kurekebishika ni kazi kurekebishika
Mfano
Wasukuma/Wahaya/Wachaga/Wamakonde/Waarusha /n.k hata kama ni msomi/waziri/katibu mkuu/mkuu wa mkoa/n.k akiongea kiswahili unamjua kwa lafudhi yake japo maneno ni ya kiswahili
Na hii ni kwa kila kabila sio hayo tu



murai na mari, wapi na wapi?

ingekuwa hata kasema mali instead of mari would make a sense.
 
nimekuwa nikifuatilia taarifa za habari za ITV lakini nashidwa kujua nikusoma awajui hawa watangazaji wao au nini.

nasema hivi kwasababu kila mtangazaji wao huwa anashidwa kutamka jina la mchezaji tennis wa UK Andy Murray, yaani ukisikia wanavyotamka nadhani huyu mchezaji akiwasikia au mtu yeyoto ni kituko.

naomba kuwasilisha kama namwingine ameona udhaifu huu.


hapo penye nyekundu panaonyesha hata ww usomaji wako una mashaka.....ni mtizamo tuuu!
 
Tanzania tuna matatizo mengi mno. Sometimes embu tuwe tunajadili namna basi ya kutatua baadhi ya hayo matatizo! Mtu anakurupuka anaanza kuponda matamshi ya mtangazaji na anaendelea kushikia bango kana kwamba angetamka vizuri kama anavyotaka basi matatizo ya madawati mashuleni, madawa hospitalini, mfumko wa juu wa bei n.k yangeisha. Kama huna kazi ya kufanya naomba unitafute kwani kuna kazi kibao tu za kupara-miwa TPC,Kilombero, Kagera n.k nikuunganishe.
 
tafuta jukwaa lake au ulijua iyo nayo siasa? Na pia ilo ni kosa la kibinadamu tu au una yako mengine, leta hoja za msingi wengne 2nawaza itakuaje matokeo we unaleta habari ya kupronounce jina la mzungu
 
kaka jina lamtu ni lamtu tuu, usije ukajitetea kwamba eti wanalitamka kiswahili, mbona channel 10, TBC na hata pia star tv wanatangaza kwakiswahili na wanalitamka vizuri tuu.

au star tv nichaneli ya kiingereza vile vile chaneli ten.

tumieni akili kama jambo hujui, ukielimwisha shukuru
.
Sasa hapo sijui umenielimishaje!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! weka sauti yako basi nisikie wewe unavyolitamka, hapa umeandika tu jina hebu litamke! Na ni kwanini unamfuatilia sana huyo jamaa kila taarifa ya habari?
 
watanzania niwagumu sana kuelimishwa nime prove hilo.

any way i'm tired with this, mwenye uwerevu alichukue mwenye ulimbukeni aliache.

kama nimekukera leave me alone.
 
pole bana maana wamekushambulia sana,lkn kila mtu na fani yake,kuna majina yamezoeleka kwa watu wa fani fulani,kwani mfano hbr za michezo,afya n.k,hapa ndipo utata unapotokea na pia kuna waandishi na watangazaji ambao hawataki au wazembe wa kujifunza vitu,wengine hawafuatilii kabisa hbr za michezo na huku wanatangaza hizo habr,kwahiyo sio vyepesi kutamka majina hayo kwa usahihi,na pia tujue kuwa majina ya watu huwa hatufundishwi kuyatamka kwani majina yako tofauti sana na hutamkwa kulingana na sehemu na lafudhi ya watu,nenda nigeria ndo utaona kama wanakosea ama la!!
 
hawa waliosoma st.academy wana tabu sana,.kuna mzungu mmoja anatamka jina la haule eti houl..na mimi ananikera!
 
Du,kazi kweli kweli.Full kujibizana kama wanawake wameshikana umbea.

Kazi kweli kweli.
Kaziiiiiiiiii
 
Hakika hata mimi huwa nashangaa! Kwa nini hawafanyi rehearsals kabla ya kwenda live! Majina mbali mbali ya watu,vitu na mahali huwa utata kwa wasomaji karibu TV zote hapa nchini.
nimekuwa nikifuatilia taarifa za habari za ITV lakini nashidwa kujua nikusoma awajui hawa watangazaji wao au nini.

nasema hivi kwasababu kila mtangazaji wao huwa anashidwa kutamka jina la mchezaji tennis wa UK Andy Murray, yaani ukisikia wanavyotamka nadhani huyu mchezaji akiwasikia au mtu yeyoto ni kituko.

naomba kuwasilisha kama namwingine ameona udhaifu huu.
 
kwani hao watangazaji ni waingereza mpaka wajue jinsi ya kulitamka? Na wakishaweza kulitamka kama waingereza ina tija gani kwa taifa?

Acha kutawaliwa kifikra wewe!
 
Chalii wa moshi umekunywa wapi hicho kitochi jamaa angu aisee! au umekunywa piwa njoro nini mangi.
 
Jamani inatisha. gari lenye masanduku ya kura zilizokwisha pigwa limeshukiwa na makamanda na hivyo kulifuatilia kwa karibu. baada ya kugundua kuwa linafuatiliwa watu waliokuwemo wakatoa silaha kutishia makamanda. Sijapata vizuri imekuwaje baada ya pale nini hiki magamba wanataka kufanya?
source; star tv mchana huu
 
Back
Top Bottom