Chali wa Moshi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 258
- 61
nimekuwa nikifuatilia taarifa za habari za ITV lakini nashidwa kujua nikusoma awajui hawa watangazaji wao au nini.
nasema hivi kwasababu kila mtangazaji wao huwa anashidwa kutamka jina la mchezaji tennis wa UK Andy Murray, yaani ukisikia wanavyotamka nadhani huyu mchezaji akiwasikia au mtu yeyoto ni kituko.
naomba kuwasilisha kama namwingine ameona udhaifu huu.
nasema hivi kwasababu kila mtangazaji wao huwa anashidwa kutamka jina la mchezaji tennis wa UK Andy Murray, yaani ukisikia wanavyotamka nadhani huyu mchezaji akiwasikia au mtu yeyoto ni kituko.
naomba kuwasilisha kama namwingine ameona udhaifu huu.