Nina Phd ya kunyonya "tuzi"Umezoea kunyonya Govinda
Wananchi bado wana imani kubwa na ccm. Wapinzani wanatakiwa kulijua hilo. Hawa wapinzani ni vibaraka na wanadanganyika na kauli za mabwana zao eti ccm inashinda kwa kuiba kura. Kiongozi yeyote wa ccm anayekubali uongo eti ushindi wa ccm unatokana na wizi wa kura basi huyo mwenyewe ndio mwizi wa kura kwa hivyo aachie ngazi. Wapo wanaojipendekeza kwa mabeberu hadi kukubali huu uongo.Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Heche, Freeman Mbowe, John Mnyika baada ya kushindwa uchaguzi wa udiwani kwenye kata zote mtaendelea kumtaja hayati Magufuli kwamba ndiyo amewasababisha mshindwe au mtawapongeza Kinana na January Makamba kwamba matamko yao yamesababisha uchaguzi umekuwa wa huru na haki kwenye kata zote?
Kazi hamfanyi, kazi kula ruzuku tu mliyopewa bure bure na rais Samia ambayo ni kodi zetu sisi wananchi wanyonge. Ni faida ipi mliyoipata sasa?
Laana ya kushangilia kifo cha Rais wetu mpendwa iwatafune na itawatafuna kwelikweli mpaka mkome.
Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
R.I.P shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi.
Hakika, ngoja wakomeshweTundu Lissu, Zitto Kabwe, John Heche, Freeman Mbowe, John Mnyika baada ya kushindwa uchaguzi wa udiwani kwenye kata zote mtaendelea kumtaja hayati Magufuli kwamba ndiyo amewasababisha mshindwe au mtawapongeza Kinana na January Makamba kwamba matamko yao yamesababisha uchaguzi umekuwa wa huru na haki kwenye kata zote?
Kazi hamfanyi, kazi kula ruzuku tu mliyopewa bure bure na rais Samia ambayo ni kodi zetu sisi wananchi wanyonge. Ni faida ipi mliyoipata sasa?
Laana ya kushangilia kifo cha Rais wetu mpendwa iwatafune na itawatafuna kwelikweli mpaka mkome.
Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
R.I.P shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi.
Uchaguzi kabla ya JPM mliwahi kushinda.?Magu ndio muasis wa kufuruga chaguzi
Ulizaliwa jana husijuwe alichokifanya Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 au ndo unajitoa ufahamu? Anyway bila wizi wa kura, kutumia nguvu ya dola na tume feki ya uchaguzi, CCM ingeshakuwa KANU nyingine muda mrefu.Uchaguzi kabla ya JPM mliwahi kushinda.?
Ndo nauliza kabla ya JPM mlikuwa mnashinda vp mpaka sasa tatizo lionekane n jpmUlizaliwa jana husijuwe alichokifanya Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 au ndo unajitoa ufahamu? Anyway bila wizi wa kura, kutumia nguvu ya dola na tume feki ya uchaguzi, CCM ingeshakuwa KANU nyingine muda mrefu.
Ulizaliwa jana husijuwe alichokifanya Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 au ndo unajitoa ufahamu? Anyway bila wizi wa kura, kutumia nguvu ya dola na tume feki ya uchaguzi, CCM ingeshakuwa KANU nyingine muda mrefu.
Cha ajabu hatmkuzi Baba yake wala Mama yake mzaziJinsi unavyomtukuza JPM ni zaidi hata ya mwanae Jesca, tafuta pesa JPM alishaenda, hakuna nyuzi ambayo huwa unaandika humu JF usimtaje Magufulu, wakati wenzako wapo busy kupiga pesa wewe Etwege mwaka juzi ulikuwa unalialia humu JF unatafuta kiwanja cha milioni 4 Dar khaaa!!
Utakuwa wewe ni chizi, CHADEMA wameshindwa walikuwa na wagombea?Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Heche, Freeman Mbowe, John Mnyika baada ya kushindwa uchaguzi wa udiwani kwenye kata zote mtaendelea kumtaja hayati Magufuli kwamba ndiyo amewasababisha mshindwe au mtawapongeza Kinana na January Makamba kwamba matamko yao yamesababisha uchaguzi umekuwa wa huru na haki kwenye kata zote?
Kazi hamfanyi, kazi kula ruzuku tu mliyopewa bure bure na rais Samia ambayo ni kodi zetu sisi wananchi wanyonge. Ni faida ipi mliyoipata sasa?
Laana ya kushangilia kifo cha Rais wetu mpendwa iwatafune na itawatafuna kwelikweli mpaka mkome.
Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
R.I.P shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi.
Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Heche, Freeman Mbowe, John Mnyika baada ya kushindwa uchaguzi wa udiwani kwenye kata zote mtaendelea kumtaja hayati Magufuli kwamba ndiyo amewasababisha mshindwe au mtawapongeza Kinana na January Makamba kwamba matamko yao yamesababisha uchaguzi umekuwa wa huru na haki kwenye kata zote?
Kazi hamfanyi, kazi kula ruzuku tu mliyopewa bure bure na rais Samia ambayo ni kodi zetu sisi wananchi wanyonge. Ni faida ipi mliyoipata sasa?
Laana ya kushangilia kifo cha Rais wetu mpendwa iwatafune na itawatafuna kwelikweli mpaka mkome.
Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
R.I.P shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi.
Kumbe kuna watu wajinga sana hapa duniani, uchawa umezidi kichwaniJinsi unavyomtukuza JPM ni zaidi hata ya mwanae Jesca, tafuta pesa JPM alishaenda, hakuna nyuzi ambayo huwa unaandika humu JF usimtaje Magufulu, wakati wenzako wapo busy kupiga pesa wewe Etwege mwaka juzi ulikuwa unalialia humu JF unatafuta kiwanja cha milioni 4 Dar khaaa!!
WAZURI HAWAFITundu Lissu, Zitto Kabwe, John Heche, Freeman Mbowe, John Mnyika baada ya kushindwa uchaguzi wa udiwani kwenye kata zote mtaendelea kumtaja hayati Magufuli kwamba ndiyo amewasababisha mshindwe au mtawapongeza Kinana na January Makamba kwamba matamko yao yamesababisha uchaguzi umekuwa wa huru na haki kwenye kata zote?
Kazi hamfanyi, kazi kula ruzuku tu mliyopewa bure bure na rais Samia ambayo ni kodi zetu sisi wananchi wanyonge. Ni faida ipi mliyoipata sasa?
Laana ya kushangilia kifo cha Rais wetu mpendwa iwatafune na itawatafuna kwelikweli mpaka mkome.
Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
R.I.P shujaa Magufuli ulisingiziwa mengi.
Yule mke wa Amsterdam alitulisha matango pori sana