Watalii kutokuja tena Tanzania?

Hiyo ni midume. mmezoea wazungu tu. sasa kazi kwenu.


Nakubaliana na wewe Barubaru. AISIFIAYE MVUA, IMEMNYESHEA.

"Yes, yes yessss Mwarabu wangu aaahh Mvua yangu, ninyeshee usiku mzima" alisikika Barubaru akipiga makelele "in the middle of the rain.

Mwanaume wa shoka, Mfeuwwww. Kweli aisifiaye Mvua...

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=k4K7gU705zM[/ame]

Nenda youtube angalia ile version ya pili. Sikutaka kuiweka maana mhh!!

DUME la Kiarabu linaita "weee Barubaru, kuja hapa Habibi".
i683_fazza3tanzanya18.jpeg
 
kelele zote si sababu ya mazingira ni kukosa parcent tu, wange pozwa na vijidola wote wangenyamaza.


Mzungu yupo juu hauwezi kumlinganisha na mwarabu hata siku moja umeona hapo ulivyo weka vijidola wewe mwenyewe unawakubari hawa jamaa,

ila hao waarabu ni waaribifu , mzungu hawezi kufanya mambo kama hayo mzungu ni kichwa bwana waarabu, Wahindi na Waafrika hamna tofauti sema rangi tu .
 
ThinkPad,

Mwaarabu yuko kwenye RACE YA MZUNGU.

Ila hawa utafikiri ni wale ndugu wa kwenye Biblia kuwa "mmoja akaiba mbaraka wa mwenzake". Sijui walikuwa watoto wa nani? Yule Feki akapata baraka zote nzuri nzuri na yule wa pili akaishia kuwa mtumwa wa mwenzake.

Pamoja na mapesa yote, hadi leo hii bila Wazungu Waarabu hawawezi kitu.

Siku wakiwatibua, watakuja na new technology ya MAGARI na wenye mafuta wanywe wenyewe.
 
Sikonge kumbe wamo eeeh,
Yes its writen inthe bible I think something like Punda Mwitu eeeh!
 
Acheni ubaguzi na inaonyesha hufahamu kinacho endelea katika utalii na uwindaji. Hakuna mtu anayeruhusiwa kuwinda katika National Parks. Hawa waraabu na makampuni mengine (including ya wamarekani) wanawinda katika hunting blocks ambazo zipo nje kabisa na National Parks. Biashara ya kuwinda ilianza kenya miaka mingi na yapo makampuni mengi yanawinda huko.

You have to research before coming up with allegations.

What's the point here? Kwamba kwa kuwa ni nje ya National Parks, basi wanaweza kufanya lolote, siyo? Mnyama wa porini anajua mpaka (boundary) wa National Park?

Kenya ilipiga marufuku uwindaji tangu mwaka 1980 or 1985 kwa sababu ya madhara ya kiikolojia. Wewe unadai kuwa Kenya kuna makampuni mengi ya kuwinda, unauhakika? Na hata kama Kenya ingekuwa inawinda (in reality hunting is banned in Kenya), is it a justification for the damage caused by these ruthless Arabs to our beautiful wildlife? I think your argument is entirely not convincing. Hence, you are the one to go back and do your homework before exposing yourself like this.
 
mtachonga sana tu, watu wenye pesa zao wanatesa.warabu watakuja na watawinda, wazungu watakuja na kuwinda. Mazingira gani wanaharibu? mbona hamyataji? Tatizo ni wivu unawasumbua, kama we ni masikini na huna uwezo wa kula maraha basi ndo mipango ya mungu hiyo. Mbona sisi hatusemi mkitoka kupata mataputapu na kukojoa barabarani? Na hivyo vyoo vyenu vya shimo mbona hatuvisemi? Hii topic ni wivu tu.

Umasikini ni mbaya sana.
 
Dini ya Eddie sio mada hapa. Unataka nikuambie mimi mmisheni mwenzio ili iweje?

Dini ya Eddie ndiyo has mahala pake maana ndiye yeye aliyeingiza suala la dini humu. Mleta mada amezungumzia waarabu na wazungu, wewe ukakimbilia mara moja kwenye uislamu na umisheni. Ningekuelewa kama ungenishutumu kwa ubaguzi wa rangi lakini si kwa udini. Kwangu mimi race haina uhusiano na dini. Kuna waarabu wakristo (Coptics wa Misri,wakristu wa kipalestina- mke wa Arafat alikuwa mkristu, n.k) na kuna wazungu waislamu ( wa Alabania, Kosovo, Chechnya, n.k), sasa wewe ulianzaje kuunganisha uvaaji wa kanzu na vilemba (mavazi ya yanayopendelewa na waarabu) na uislamu kama si mdini? Ungeweza kudai kuwa hawa jamaa inangewezekana kuwa wako kwenye uigizaji wa filamu, na hivyo wote wakawa ni wazungu wanaojifanya waarabu. Lakini hapana, wewe ulichoona ni muislamu mwenzako anaonewa, ikabidi useme. Na pale, muislamu mwenzako (ambae hafichi dini yake kama wewe) alipokemea kitendo kilichoelekea kufanywa na hao wanaoonekana kama waarabu, wewe ukamvaa na kumshangaa kwa nini hatetei Ummah!

Zaidi ya hayo wewe na mwenzako mkawashutumu wamisheni kuwa wana slave mentality. Nielewavyo mimi, slave mentality, ni ile ambapo mtwana anaamini, kukubali na anapoweza kuiga kila kitu afanyacho bwana/bibi yake. Kwangu mimi mtu kazania jina la kizungu lenye asili kwenye dini isiyo yake ni alama ya hii mentality. FYI, ni wamisheni wachache wanaotumia jina Eddie (hata kama asili yake ni dini yao) tangu waislamu walipoanza kulitumia. Kama ilivyo kwa jina Baker tangu wakina Bakari walipoanza kulitumia!

Eddie, unashindwa kukataa waziwazi kuwa wewe ni muislamu kwa sababu hiyo itakuwa ni dhambi ya apostacy na unajua Allah anakuona hata kama Fundi Mchundo hakuoni.

Nadhani nimeongea vya kutosha na umenielewa ninakotokea. Kama bado, bahati mbaya.

Nilikuwepo.

Amandla........
 
Omr sina utumwa wa kidini mimi
Watumwa wa dini ni ninyi waislamu,na Mzee wenu mwinyi aliyediriki kuibadili Tanzania kuwa The uNITED iSLAMIC rEPUBLIC of tanzania akagonga mwamba,hahahah,wasomi walimuumbua,akakosa pumzi,hadi anakwenda kaburini laana hii itamfuata tuu,haikwepeki.

Mkuu, unakaribia ku-overflow-watch out!!!!
 
Back
Top Bottom