Nitamulika na tochi hadi nizione.....maana oithread hili
si mchezo
Aaah Kong's B............ upo?????Utaziona batabi kweli za laptop?
Angalia usoje ukabonyeza batani za jirani yako.
na wale 'singoz' wanaochiti na mali za wenyewe je?
Aaah Kong's B............ upo?????
vipimo hivi ni kwa jinsia ya me au ke?Tape measure, vanier caliper, na litmus pepa.
Eti ndio ananiachia mida hii......!usinikumbushe yale mambo.
Nipo MS, ulifichwa na FF?
vipimo hivi ni kwa jinsia ya me au ke?
Na hii pia yanchekesha! labda angesema wanaoanza tendo la ndoa kabla ya umri halali kisheria, mfano Lulu Kanumba aka megawati....! alivyoikimbilia dushelele mapema.Hukum-wanchekesha!
Kwi kwi kwi, eti nini? wanaofanya mapenzi kabla ya ndo wafungwe?Mmh! Nitawamiss.