MATESLAA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,246
- 74
Kambi rasmi ya upinzani bungeni,imesema tz inastahili kuingia katika kitabu cha kumbukumbu cha maajabu ya dunia cha the guinness book of records kwa kufaulisha wanafunzi 5200wasiojua kusoma wala kuandika hii ni kashfa kubwa kwa serekali ya ccm
soure mwananchi jumanne agasti 14/ 2012
ngoja nipate mbege nikachume kahawa
soure mwananchi jumanne agasti 14/ 2012
ngoja nipate mbege nikachume kahawa