Wataalamu wa IT nisaidieni mie mwenzenu tafadhali!

Mrimi

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
1,691
635
Jana nimeinstal TrustPort USB antivirus kwenye flash yangu aina ya SONY USB2.0 (4GB), no problem occured hadi leo nilipocopy file kadhaa za ukubwa wa kama 1.3GB. Sasa shida imekuja kwamba nilipoirudisha kwenye computer yangu (os-windows 7 home adition 64bit, RAM 3GB), inastuck kwenye kufungua hiyo flash, so nimeshindwa kucopy tena. Mimi natumia immunet antivirus free version.

Ninapoinsert hiyo flash inaleta error message inayosema:

Do you want to scan and fix Removable Disc?
There might be a problem with some files on this device or disc.This can happen if you remove the device or disc before all files have been written to it. Kusema kweli mimi natumia utaratibu wa kawaida (safely remove disc) kila mara.

Scan and fix(recomended).
Continue without scanning.

Niki-scan & fix it remain silent/iddle, hakuna kinachoendelea.
Niki-continue witout scanning, ni vilevile, hakuna kinachoendelea.

Nimejaribu kutumia Windows 7 altimate 64 & 32bit, Vista na XP imefunguka, contents zote zinaonekana na kusomeka vizuri tu, unweza kuhamisha(copying) ila huwezi kuingiza(paste) chochote tena. Kibaya zaidi ni kwamba imeshindikana kuformat kabisa. Inaleta error message: The disc can not format na sometimes inasema the disc is protected(labda kwa sa'bu ya trustport). Hata ukijaribu kudelete chochote inasema, the file can not be deleted because it si protected.

Nimejaribu kutumia program ya Unkocker ambayo kwa kawaida naitumia kudelete outorun inf. vitu vingine vyenye shida kufuta bado inasema tu the file is protected.

Tatizo hapa ni kwamba nashindwa jinsi gani ya ku uninstall hii TrustPort kwa sababu ipo installed kwenye flash tu,sio computer, lakini pia sijui ni jinsi gani ya ku fix tatizo hili.

Naombeni nisaidiwe tafadhali.....
 
Flash disk yako ina aina fulani ya lock? Huwa ni kidude ambacho unaweza kushusha na kupandisha juu.
 
Jana nimeinstal TrustPort USB antivirus kwenye flash yangu aina ya SONY USB2.0 (4GB), no problem occured hadi leo nilipocopy file kadhaa za ukubwa wa kama 1.3GB. Sasa shida imekuja kwamba nilipoirudisha kwenye computer yangu (os-windows 7 home adition 64bit, RAM 3GB), inastuck kwenye kufungua hiyo flash, so nimeshindwa kucopy tena. Mimi natumia immunet antivirus free version.

Ninapoinsert hiyo flash inaleta error message inayosema:

Do you want to scan and fix Removable Disc?
There might be a problem with some files on this device or disc.This can happen if you remove the device or disc before all files have been written to it. Kusema kweli mimi natumia utaratibu wa kawaida (safely remove disc) kila mara.

Scan and fix(recomended).
Continue without scanning.

Niki-scan & fix it remain silent/iddle, hakuna kinachoendelea.
Niki-continue witout scanning, ni vilevile, hakuna kinachoendelea.

Nimejaribu kutumia Windows 7 altimate 64 & 32bit, Vista na XP imefunguka, contents zote zinaonekana na kusomeka vizuri tu, unweza kuhamisha(copying) ila huwezi kuingiza(paste) chochote tena. Kibaya zaidi ni kwamba imeshindikana kuformat kabisa. Inaleta error message: The disc can not format na sometimes inasema the disc is protected(labda kwa sa'bu ya trustport). Hata ukijaribu kudelete chochote inasema, the file can not be deleted because it si protected.

Nimejaribu kutumia program ya Unkocker ambayo kwa kawaida naitumia kudelete outorun inf. vitu vingine vyenye shida kufuta bado inasema tu the file is protected.

Tatizo hapa ni kwamba nashindwa jinsi gani ya ku uninstall hii TrustPort kwa sababu ipo installed kwenye flash tu,sio computer, lakini pia sijui ni jinsi gani ya ku fix tatizo hili.

Naombeni nisaidiwe tafadhali.....
kuhusu kuformat flash, ingia kwenye DOS,andika neno format likifuatiwa na drive letter ya FLASH yako then press enter


Jaribu kutafuta post yangu Namna ya ku-unhide mafaili ambayo hayaonekani kwenye flash disk,kuna some useful tips hope itakusaidia
 
haina tatizo restart pc yako huku ukiwa umechomeka flash kwenye usb port hilo ni jambo la kawaida sana.
 
haina tatizo restart pc yako huku ukiwa umechomeka flash kwenye usb port hilo ni jambo la kawaida sana.

Imefunguka, contents zinaonekana na kusomeka, ila bado hazifutiki wala huwezi kupaste kitu chochote, wala kuformat.
 
kuhusu kuformat flash, ingia kwenye DOS,andika neno format likifuatiwa na drive letter ya FLASH yako then press enter


Jaribu kutafuta post yangu Namna ya ku-unhide mafaili ambayo hayaonekani kwenye flash disk,kuna some useful tips hope itakusaidia

Mkuu DOS yenyewe naijua basi?! Hebu nisaidie maelezo kidogo jinsi ya kuifikia(yaani naanzia wapi)
 
Trustport antivirus huwa ngumu sana ku-uninstall, ila kuna free Uninstall tool kama Perfect Uninstaller na nyinginezo zinazoweza kukusaidia.

Uliuliza pia kuhusu kuingia kwenye DOS... Click start, kwenye search program andika CMD, kisha press inter, kutatokea kiwindo kidogo cheusi andika format ikifuatiwa na drive letter yako kama itakuwa e or so, (format e) kisha press enter.

Na Mwisho ningekushauri kuwauliza wataalamu wa IT kabla hujafanya maamuzi yoyote ya kuinstall programs uzizozielewa utendaji wake wa kazi na si eti kuwauliza ukishakwama.




Gd luck
 
Trustport antivirus huwa ngumu sana ku-uninstall, ila kuna free Uninstall tool kama Perfect Uninstaller na nyinginezo zinazoweza kukusaidia.

Uliuliza pia kuhusu kuingia kwenye DOS... Click start, kwenye search program andika CMD, kisha press inter, kutatokea kiwindo kidogo cheusi andika format ikifuatiwa na drive letter yako kama itakuwa e or so, (format e) kisha press enter.

Na Mwisho ningekushauri kuwauliza wataalamu wa IT kabla hujafanya maamuzi yoyote ya kuinstall programs uzizozielewa utendaji wake wa kazi na si eti kuwauliza ukishakwama.




Gd luck

Mkuu nimekuelewa. Kupitia DOS, nikicommand inaleta message: Invalid drive specification. (Disc yangu ipo kwenye H) au inasema Inalid parameter-h.

Nimetumia HP USB Disk Storage Format Tool, inachukuwa muda mrefu sana, kisha inasema 'the disc is write-protected'

So now najaribu kutafuta hiyo Perfect Unistaller nione nini tena kitatokea.

Ushauri wako wa mwisho ni mzuri bro, maana hadi hapo nilishaapa kutumia programs zisizokuwa na kichwa wala miguu, ila kwa kuwa imeishatokea basi naombeni tuvumiliane tu ili japo tu fix tatizo kwanza.

Sawa bro....
 
Ok! Yau ur rite nimetoa maelezo mafupi sana iyo ni kwasababu am one 4ne. Ni kwamba iyo flash drive na flash drives, and hard disk zingine e.t.c ina somtn called a partition. And bye deleting a partition is further more beyond that formatting it. Ok how to delete the partition: Connect flash yako
click start, then type disk management, itasearch na konekana apo ifungue, then apo utaona all the drivers installed kwenye comp yako then look for the flash drive apa unatakiwa uwe makini kuichagua then rite click it na chagua delete partition, itaprompt msg ya warning kuwa itafuta kla kitu somtn like that click yes, then if ikikubali kudelete partition. Then rite click it tena na chagua create partition, then ikifika sehemu ya kuchagua file systm hakikisha uchague fat32 sio fat. And then chagu perform quick format then ok. Ita anza kuformat mpaka 100% then sasa. Ukifanikiwa mpaka apa ur flash drive is gud as new. Sorry maelezo yamekaa vbaya nko mbal on 4ne and nimelezea kwa kukumbuka. Kama cjaeleweka later nikifika home kwenye computer nitaelezea vizur.
 
Mkuu nimekuelewa. Kupitia DOS, nikicommand inaleta message: Invalid drive specification. (Disc yangu ipo kwenye H) au inasema Inalid parameter-h.

Nimetumia HP USB Disk Storage Format Tool, inachukuwa muda mrefu sana, kisha inasema 'the disc is write-protected'

So now najaribu kutafuta hiyo Perfect Unistaller nione nini tena kitatokea.

Ushauri wako wa mwisho ni mzuri bro, maana hadi hapo nilishaapa kutumia programs zisizokuwa na kichwa wala miguu, ila kwa kuwa imeishatokea basi naombeni tuvumiliane tu ili japo tu fix tatizo kwanza.

Sawa bro....

Kwa jinsi ninavyoelewa kutokana na sentensi hiyo kuna ka kitu kwenye flash yako kadogo sana umekasogeza bila kujua. ichunguze vizuri flash yako utaona hako kakitu kanakoweza kusogea sogea
 
Ok! Yau ur rite nimetoa maelezo mafupi sana iyo ni kwasababu am one 4ne. Ni kwamba iyo flash drive na flash drives, and hard disk zingine e.t.c ina somtn called a partition. And bye deleting a partition is further more beyond that formatting it. Ok how to delete the partition: Connect flash yako
click start, then type disk management, itasearch na konekana apo ifungue, then apo utaona all the drivers installed kwenye comp yako then look for the flash drive apa unatakiwa uwe makini kuichagua then rite click it na chagua delete partition, itaprompt msg ya warning kuwa itafuta kla kitu somtn like that click yes, then if ikikubali kudelete partition. Then rite click it tena na chagua create partition, then ikifika sehemu ya kuchagua file systm hakikisha uchague fat32 sio fat. And then chagu perform quick format then ok. Ita anza kuformat mpaka 100% then sasa. Ukifanikiwa mpaka apa ur flash drive is gud as new. Sorry maelezo yamekaa vbaya nko mbal on 4ne and nimelezea kwa kukumbuka. Kama cjaeleweka later nikifika home kwenye computer nitaelezea vizur.

Nimejaribu njia hii bro, tatizo ni kwamba ni options nne tu zinafanya kazi. Yaani open, explore, properties na help, lakn options nyingine kama vile format.., extend volume, shrink volume, add mirror, na delete volume hazifanyi kazi. Vipi nitumie njia gani tena mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom