LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Habar zenu wadau mim cyo mtaalam xana wa haya mambo lkn kutokana na mawazo yangu na mtizamo wangu binafsi kuna hili swala linaniumiza kichwa kidogo ndiyo mana nimeamua kulifikisha kwa wataalam ilimuweze kulidadavua.
Kuna zile receiver za G-sport ambazo kwa sasa hapa bongo hazitumiki hivi haiwezekan kuzifanyia maujanja yoyote yale ili ziweze kutumika ama kwa kutumia kadi ya kampun nyingine km multchoice au kuweza kuitumia kama receiver kwa kudaka chanel ambazo zipo free na uweze kuitumia bila kadi.
Au kwa njia yoyote ile hata kwa kuifanyia modifcation kwenye circuit yake.
Kila nikipitia ukulasa huu huwa na kutana na thread ambazo huandika jinsi ya kuflash cim au modem ambazo huwa zinatumia line 1 na badala yake zitumie line zote je kwa hili haiwezekan?? Na kwanin haiwezekan?
Nahitaji msaada wenu wadau naamin ntatatuliwa mawazo yangu ambayo yananisumbua mda mrefu.
Kuna zile receiver za G-sport ambazo kwa sasa hapa bongo hazitumiki hivi haiwezekan kuzifanyia maujanja yoyote yale ili ziweze kutumika ama kwa kutumia kadi ya kampun nyingine km multchoice au kuweza kuitumia kama receiver kwa kudaka chanel ambazo zipo free na uweze kuitumia bila kadi.
Au kwa njia yoyote ile hata kwa kuifanyia modifcation kwenye circuit yake.
Kila nikipitia ukulasa huu huwa na kutana na thread ambazo huandika jinsi ya kuflash cim au modem ambazo huwa zinatumia line 1 na badala yake zitumie line zote je kwa hili haiwezekan?? Na kwanin haiwezekan?
Nahitaji msaada wenu wadau naamin ntatatuliwa mawazo yangu ambayo yananisumbua mda mrefu.