Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
Laptop yangu aina ya compaq 610 inatabia ya kukataa software mbalimbali,nyingine niki install zinakubali na zinafanya kazi ila nikirestart tu pc kosa zinaleta error.Mwanzoni nilizani tatizo ni window(window7) nikajaribu kuirudisha windows vista ambayo ndo niliikuta kipindi nimenunua pc bado tatizo ni lilelile.Naomba mnijuze tatizo linaweza kuwa lipi coz virus pia sio tatizo nna updated antivirus.