Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,959
- 55,054
Napendekeza wafanyakazi wote wa serikali Tanzania waandamane kupinga hii sheria Pingamizi
Katika hali ya sasa unaamini kabisa DEDs watatangaza kushindwa kwa mgombea wa CCM?Suala la mahakamani,
Alternative no - 1
Alternative no - 2
kuwanyima kura wabunge waccm kwa nguvu zote tulinde matokeo
Wakabadilishe za rais maana yeye watabadilisha tume huko makao mkuu
Za wabunge tunazihesabu huku huku majimboni tutawamudu, hakuna kuiba
Alternative no - 3
Tujipange kushughulika na wabunge mmoja mmoja, haiwezekan, yeye achukuwe haki yake yote 100% kwa miaka mitano, halafu atunyime haki yetu wafanyakazi tuliosota 35yrs
-tufe kwa pressure
-watoto wetu wasisome, wa mbunge waneemeke
-tuishi kwa taabu na manyanyaso ilhahali haki yetu inaliwa na wabunge
Kwa kuwa wao wabunge wameamua kutupangia matatizo ni vema kabisa tujipange kuwatia adabu, iwe mmoja mmoja au chama chao kuwanyima kura nasisi tuwatengenezee matatizo wafe haraka kama sisi
Pia alilamika sana bungeni marehemu Mh. Bilago wabunge wa CCM wakamwambia anahangaika bure.Nakumbuka kwenye Mjadala huu bungeni zitto Kabwe aliongea sana mpaka anataka kulia.
Aliambulia kutukanwa na kuonekana mjuaji. Leo naona tunaanza kuongea lugha moja.
Katika hali ya sasa unaamini kabisa DEDs watatangaza kushindwa kwa mgombea wa CCM?
Vv
Sheria ya kigasHowSheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.
Haziwahusu.Hivi hao wanaotengeneza hizo Sheria wao haziwahusu au wana namna ya kuzikwepa sababu naona kama wanawatungia wengine!!!
Wazo zuri sana. Fatma Karume chukua kesi hii haraka sana, onesha uzalendo. Serikali imegeuka jambazi dhidi ya raia wake.Sheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.
Wanaotengeneza sheria hizo ni wabunge, na wao haziwahusu.Hivi hao wanaotengeneza hizo Sheria wao haziwahusu au wana namna ya kuzikwepa sababu naona kama wanawatungia wengine!!!
Mkuu huwa siwaelewi hawajifunzi tu kwenye sheria ya FAO la kujitoa wengine walitumbuliwa nadhani mafao hawa japataHivi hao wanaotengeneza hizo Sheria wao haziwahusu au wana namna ya kuzikwepa sababu naona kama wanawatungia wengine!!!
Adolay, hizi chaguzi ndogo ni mkanda wa negative wa uchaguzi ujao, amini nakwambia ktk uchaguzi ujao idadi ya wapinzani wataoshinda itapungua; kwanza kwa mizengwe ya wakurugenzi wa Halmashauri, pili kwa kuwa idadi ya wataoenda kupiga kura itapungua sana lkn itafidiwa kwa kura hewa nyingi kama ilivyokuwa kwenye chaguzi ndogo, tatu kwa sababu ya uminywaji wa haki za kidemokrasia kama ilivyo sasa.Usifananishe uchaguzi mkuu na huu wa akina waitara
Uchaguzi mkuu ni majimbo mangapi na tunavituo vingapi vya kutangaza matokeo
Ifike wakati kudhibitiana hasa idadi ya Askari itakapopwaya.
Hivi unamfahamu Mtanzania kweli,haya bwana, tusiandikie mate wakati wino tunao.Tusubiri,time will tell.Awe judge au hakimu wote ni wahanga wa sheria hii! Kwa vyovyote hawatawaangusha wastaafu labda apelekewe yule mkwe!