Wastaafu tunaungana kupinga sheria na Kanuni mpya ya mafao ya mwaka 2018 Mahakamani

kanga

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
1,025
494
Sheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.
 
Sheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.
Kile chama cha wafanyakazi kiwapiiiii??????
 
Namhurumia sana baba angu
Sheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.
 
Mstaafu akisikiliza sheria mpya ya KUSTAAFU na MCHANGO atakaopewa. Akicheki nyumba hata mlango wa mbao hana, anajuta kwanini hata aliiunga mkono CCM miaka yote hio. Sura ya huzuni na kukata tamaa.

Anasikia "Tunajenga SGR" wakati hata hajui nini kirefu cha SGR wala FLYOVER.
bajeti%2Bpic-1.jpg


Yani serikali hii imekaa kitapeli tapeli kweli.

Wito wangu kwa serikali, kama wanataka hela ya haraka haraka bila kukera mtu, si waanzishe sera ya kuruhusu WIZARA ziwe zina BET katika MIKEKA.
 
Sheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.
chama chenu cha wafanyakazi kimenunuliwa na MAccm poleni
 
Sheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.
Serikali hii ni ya kinyama hasa ! wabunge mafao 100% walalahoi 25% , Taifa Stars mil 50 , Waitara milion 800 , Meya wa chadema Iringa mil 200 .
 
Suala la mahakamani,
Alternative no - 1

Alternative no - 2
kuwanyima kura wabunge waccm kwa nguvu zote tulinde matokeo

Wakabadilishe za rais maana yeye watabadilisha tume huko makao mkuu

Za wabunge tunazihesabu huku huku majimboni tutawamudu, hakuna kuiba

Alternative no - 3
Tujipange kushughulika na wabunge mmoja mmoja, haiwezekan, yeye achukuwe haki yake yote 100% kwa miaka mitano, halafu atunyime haki yetu wafanyakazi tuliosota 35yrs
-tufe kwa pressure
-watoto wetu wasisome, wa mbunge waneemeke
-tuishi kwa taabu na manyanyaso ilhahali haki yetu inaliwa na wabunge

Kwa kuwa wao wabunge wameamua kutupangia matatizo ni vema kabisa tujipange kuwatia adabu, iwe mmoja mmoja au chama chao kuwanyima kura nasisi tuwatengenezee matatizo wafe haraka kama sisi
 
Sheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni sababu za ovyo .Tukutane mahakamani na Serikali kupinga Sheria hii ya ujambazi.Tunataka sheria na Kanuni za zamani zitumike ,ziwe adopted na Pssf na Nssf.hatutaki ujinga sisi.
Mahakama unayokwenda ni ya nani mkuu?Have you really given that a thought.
 
Back
Top Bottom