Wassira: Tanzania inapakana na Kenya, Sudan na Somalia

Akiongea katika kipindi cha DK 45 ITV. Wasira kasema kwanza anao uzoefu kwa kuwa alikuwa waziri wa kilimo enzi hizo; kwa mazao ya chakula ni tatizo kwani jirani zetu ambao tunapakana nao kama Kenya Sudan na Somalia wanapokuwa na matatizo ya vyakula hununua kwetu.............. Naomba msaada kwa wanajiographia kuhusu nchi tunazopakana nazo..........

Wala hatumshangai sana babu huyu kusema SUDAN inapakana na TZ...nahisi ndio usingizi unamtesa kwa uzee maana mara ya mwisho kumwona, alikuwa 'Zzzzzzzzz zzz, ndoto, anaota bungeni...! akili zimechoka..! Huyu Babu yupo tangu enzi Mwl Nyerere anaanza kuiongoza Tanganyika, na anajigamba kuwa alipewa Uwaziri akiwa kijana! Hata Mbunge Machali hivi Majuzi alimtolea mfano kuwa ni kati ya Matatizo ya Ajira ya Vijana maana wanashikilia nafasi hadi wafie madarakani, wakati vijana wanakosa ajira! Sasa angalia alivyo hayupo-hayupo!, ila tusisahau kuwa ni 'Mshauri wa JK'...! Je JK ataweza kuvuna toka kwa watu kama hawa??

Swali Je, endapo JK anamuuliza Mahusiano yetu na Nchi jirani yakoje, mzee huyu si aajabu akasema pia ana wasiwasi na Libya na Misri, na sidhani kama anakumbuka kuwa Gadhafi na Mubarak hawako madarakani tena... Ndio Wanaoiongoza nchi yetu hao...Kazi kweli kweli..
 
wasira+chapa+usingizi+4[1].jpg

WAKUU...Nomba kutoa Ushauri...Nashauri picha hii iwekwe katika Fremu rasmi Kubwa, kwa kuhamasisha Ukombozi wa Taifa, Uwajibikaji na Ajira za Vijana. Hii ni picha nzuri sana na Bango lake ni nzuri sana kwa Mikutano yetu ya CDM ktk Kujenga Ukombozi na kuwavua magamba kwa hoja thabiti!
 
wasiwasi wangu ni hawa jamaa wanavyolala hivi hawawezi kukoroma au hata kuchafua hewa kidogo??? they look very fast asleep

Haaahaaaa! Kuna zile perfume za kuboresha hali ya hewa mjengoni
 
Kwa uelewa wangu mdogo,hakuzungumza ujirani kwa maana nchi zote hizo tunapakana nazo,bali wote tuko kanda moja,nchi zote hizi zipo mashariki ya Afrika. Kwa wakazi wa mikoa ya Mara,Arusha na Kilimanjaro mtakua mnajua magendo ya mahindi na nafaka mipakani pale nchi za Kenya, Somalia na Sudani kusini kunapokua na ukame ukasababisha mjaa ktk hizo nchi.
 
jamani msimlaumu wassira, elimu yake halisi ni darasa la nane. mtaji wake ni kuwa mtoto wa dada yake JKN lakini kichwani hamna kitu
 
Akiongea katika kipindi cha DK 45 ITV. Wasira kasema kwanza anao uzoefu kwa kuwa alikuwa waziri wa kilimo enzi hizo; kwa mazao ya chakula ni tatizo kwani jirani zetu ambao tunapakana nao kama Kenya Sudan na Somalia wanapokuwa na matatizo ya vyakula hununua kwetu.............. Naomba msaada kwa wanajiographia kuhusu nchi tunazopakana nazo..........
Du! Mulugo senior. Tatizo la nchi yetu ni kwamba wanapopata Uwaziri hawasomi tena, wao na magazeti tu. Hata prof wao ni vivyo hivyo. Hebu Waziri ama mbunge mmoja ajitokeze aseme hadharani tangu ateuliwe Uwaziri ama achaguliwe Ubunge ameingia maktaba gani na kusoma juu ya nini? HAKUNA!
 
East_Africa_Map.jpg
Alichomaanisha ni kwamba tuko karibu na Somalia.., neno 'kupakana' alilisema kwa makosa.., ni hali ya kupitiwa tu.., msiwe kama mbwa!
 
Mulugo mwingine??

Ila nataka kuamini kwamba ccm kuna Milugo mingi ila yule waziri wa elimu alikwa kiwakilishi tu.

Nasema siku zote, uchawi huondoa maarifa. Hakuna mtu mshirkina na mchawi anabaki na maarifa hata kama kasoma shule.

Haya huyu ni mmoja wa maraisi wa ccm!.

Wehu!

Akiongea katika kipindi cha DK 45 ITV. Wasira kasema kwanza anao uzoefu kwa kuwa alikuwa waziri wa kilimo enzi hizo; kwa mazao ya chakula ni tatizo kwani jirani zetu ambao tunapakana nao kama Kenya Sudan na Somalia wanapokuwa na matatizo ya vyakula hununua kwetu.............. Naomba msaada kwa wanajiographia kuhusu nchi tunazopakana nazo..........
 
Akiongea katika kipindi cha DK 45 ITV. Wasira kasema kwanza anao uzoefu kwa kuwa alikuwa waziri wa kilimo enzi hizo; kwa mazao ya chakula ni tatizo kwani jirani zetu ambao tunapakana nao kama Kenya Sudan na Somalia wanapokuwa na matatizo ya vyakula hununua kwetu.............. Naomba msaada kwa wanajiographia kuhusu nchi tunazopakana nazo..........


Mulugo hakuwa peke yake kumbe. Sasa Tanzania inapakana na Sudan na Somalia. Hivi mzee Wassira ana elimu gani?
 
Mulugo mwingine??

Ila nataka kuamini kwamba ccm kuna Milugo mingi ila yule waziri wa elimu alikwa kiwakilishi tu.

Nasema siku zote, uchawi huondoa maarifa. Hakuna mtu mshirkina na mchawi anabaki na maarifa hata kama kasoma shule.

Haya huyu ni mmoja wa maraisi wa ccm!.

Wehu!

Mkuu, wapo wengi tu. Bado hatujasikia ya Kibajaji hapo. Kuna Prof. Maji Marefu. CCBola oyee!
 
Akiongea katika kipindi cha DK 45 ITV. Wasira kasema kwanza anao uzoefu kwa kuwa alikuwa waziri wa kilimo enzi hizo; kwa mazao ya chakula ni tatizo kwani jirani zetu ambao tunapakana nao kama Kenya Sudan na Somalia wanapokuwa na matatizo ya vyakula hununua kwetu.............. Naomba msaada kwa wanajiographia kuhusu nchi tunazopakana nazo..........

majirani kashindwa kuwatambua je akiletewa mikataba feki si litasaini tu
 
Ndio maana walikata viuno katiba yao ilivyopita. Si walisema elimu isiwe kigezo cha kupigania ubunge.
 
Kwa wale msiojua jinsi Wassira alivyosota mnashangaa hali hii. Kuja kuteuliwa na Kikwete ilikuwa kumwokoa,a na huku kulalalala ni kutokana na kula hovyo. Basi!
 
Back
Top Bottom