Hii ni kali aisee.
Wasira aliwaonaje binti zake chumbani kwa Dr Slaa? Huyu mzee anazeeka vibaya. Utawapigaje CHABO binti zako?
Hii ni kali aisee.
Mimi naona ni ofisini.........sijui ''chumbani'' anakokuongelea ''PET'' WASSIRA ni wapi?
Angalia kidole cha huyo dada anayepokea cardi kinaeleka wapi kwenye mkono wa DR. Kazi kweli kweli!!Mimi naona ni ofisini.........sijui ''chumbani'' anakokuongelea ''PET'' WASSIRA ni wapi?
Asante baba Mtei, tunakukumbuka sana pamoja na mzee Ngwilulupi na Makani.Kwa taarifa ya WanaJF, George Wassira alikuwa ni mmoja wa WanaCHADEMA wa kwanza na alichaguliwa Mwenyekiti Mkoa wa Mara.
George na mimi tulipata fursa ya kumtembelea Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, nilipokuwa Musoma nikieneza Chama; tukampelekea Katiba na Sera zetu nyumbani kwake Butiama. Nafurahi sana kwamba Lilian na Esther Wassira wamejiunga na M4C, kuimarisha ngome ya vijana wakombozi.
Huyu mzee labda huwa anafanya yale mambo yake ya chumbani ofisini sasa amejisahau akidhani kila mtu ni hivyo.
Kwi.. kwi.. kwiiiii! nimeiona hiyo mdada anataka kumtia majaribuni Dr.Angalia kidole cha huyo dada anayepokea cardi kinaeleka wapi kwenye mkono wa DR. Kazi kweli kweli!!
Kuna watu labda hamumfahamu vizuri Wassira, ni kwamba Wassira alipigika na maisha ile kisawasawa, sasa wakati JK ankwenda kuomba baraka kwa mama Maria Nyerere, Maria Nyerere alimwambia nakubali mwanangu uwe Rais ila usimuache Wassira anaadhirika.
Wengi hili hawalijui ila kwakuwa JF ni mkusanyiko wa watu wengi najuwa wapo watakaothibisha maneno haya, Wassira mpaka leo nina uhakika hawezi kukosa sugu kwenye bega lake la kulia maana baada ya kupigigika na maisha ilibidi awe mbeba mabegi ya mawakili ili na yeye apate pesa ya kula. kwahiyo sishangazwi na lolote kutoka kwa Wassira.
angalia kidole cha huyo dada anayepokea cardi kinaeleka wapi kwenye mkono wa dr. Kazi kweli kweli!!
Akiwa na wakuzuga mwenzie-kwa raha zao[/QUOTE]
Angalia kidole cha huyo dada anayepokea cardi kinaeleka wapi kwenye mkono wa DR. Kazi kweli kweli!!