masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Katika kile sasa kinachoonekana kuwa bifu kali kati ya hawa wanasiasa waili wa umri mkubwa, Waziri Wassira amemtaka Dr Slaa awe mwangalifu katka kutoa kadi za chama chake chumbani bila wadau wengine kuwapo!!
Kulingana na gazeti la Majira leo tarehe 1/10/2012, Wassira alikuwa akijibu mapigo kwa jina lake kutumiwa na Dr Slaa katika kuwapa kadi wanachama waili wenye jina la Wassira.
Hata hivyo Nd Wassira alisema ndugu zake hao ambao ni watoto wa kaka yake,Lilian na Ester Wassira wana haki ya kujiunga na chama chochote cha kisiasa.
Ni kinukuu gazeti la Majira la leo, lina sema:
" Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Bunda,mkoani Mara, Bw Wassira alimshukia Dr Slaana kumtaka awe makini kuwaita wake za watu chumbanina kuwapa kadi bila maofisa wengine wa chama hicho kushuhudia tukio hilo."
Wassira aliendelea,
"Namtahadharisha Dkt Slaa kwani alichokifanya kinaweza kuleta mtafaruku katika ndoa za watu"
Wana bodi hili bifu sasa ni kali, lakini namii niliona lile jicho alilolikata yule binti mdogo mdogo kwenye TV, lilikaa kimahabuba, sijui pengine macho yangu.
Nawapongeza CDM kwa kupata wanchama wazuri hivyo.
Kulingana na gazeti la Majira leo tarehe 1/10/2012, Wassira alikuwa akijibu mapigo kwa jina lake kutumiwa na Dr Slaa katika kuwapa kadi wanachama waili wenye jina la Wassira.
Hata hivyo Nd Wassira alisema ndugu zake hao ambao ni watoto wa kaka yake,Lilian na Ester Wassira wana haki ya kujiunga na chama chochote cha kisiasa.
Ni kinukuu gazeti la Majira la leo, lina sema:
" Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Bunda,mkoani Mara, Bw Wassira alimshukia Dr Slaana kumtaka awe makini kuwaita wake za watu chumbanina kuwapa kadi bila maofisa wengine wa chama hicho kushuhudia tukio hilo."
Wassira aliendelea,
"Namtahadharisha Dkt Slaa kwani alichokifanya kinaweza kuleta mtafaruku katika ndoa za watu"
Wana bodi hili bifu sasa ni kali, lakini namii niliona lile jicho alilolikata yule binti mdogo mdogo kwenye TV, lilikaa kimahabuba, sijui pengine macho yangu.
Nawapongeza CDM kwa kupata wanchama wazuri hivyo.