Taarifa nilizopata kutoka Dodoma Muda huu naambiwa kuwa zaidi ya wanafunzi 100 kutoka vyuo vikuu Dodoma wameandamana kimya kimya na wamejaa nyumbani kwa Lowassa mjini Dodoma wakimshawishi agombee Urais 2015.
Naambiwa ni watu ni wengii hatari na wakiulizwa wanasingizia kuna msiba.
Barabara zimefungwa maeneo hayo ya Area D.
mkuu hakuna kitu ka hicho mm niko hapa area d maeneo ya site one au sengia bar hakuna watu hao na hamna barabara iliyofungwa kwa ajili ya hao wapuuz wachache uvccm wanaojiita wasomi