Wasomi zaidi ya 100 wamejaa Nyumbani kwa Lowasa Dodoma asubuhi hii

Najaribu kupiga picha watu buku nane! Si mchezo hizo barabara sina hakika.
Nahisi kukuzwa kwa ukweli kwa mbaaaaaaaaaali
 
Nafurahi sana mnapoona magamba ya ccm mmeshaanza kupasuka vipande vipande kabla hata mgombea wa uraisi hajatangazwa na chama cha mafisadi ccm.lakini mtahangaika bure raisi ajaye atatoka nje ya ccm
naomba nitake radhi mi siyo gamba
 
Taarifa nilizopata kutoka Dodoma Muda huu naambiwa kuwa zaidi ya wanafunzi 100 kutoka vyuo vikuu Dodoma wameandamana kimya kimya na wamejaa nyumbani kwa Lowassa mjini Dodoma wakimshawishi agombee Urais 2015.

Naambiwa ni watu ni wengii hatari na wakiulizwa wanasingizia kuna msiba.

Barabara zimefungwa maeneo hayo ya Area D.


Wangekuwa wa vyama vingine kesho utasikia wapeleke maelezo kwanini wanafanya shuguli za kisiasa!

Ila hongera yake Lowasa kwa mikakati kali

CC Pasco
 
Last edited by a moderator:
Hii kitu inaonekana kama iko 'staged' hivi.

Bila ya shaka yo yote.

Hao wanafunzi badala ya kushughulika na masomo yao wanaandamana na kwenda kusubiri mgao wa ruzuku kwa Muheshimiwa sana.

Utawatokea puani huo kwani mutaulipia pamoja na interest.
 
Taarifa nilizopata kutoka Dodoma Muda huu naambiwa kuwa zaidi ya wanafunzi 100 kutoka vyuo vikuu Dodoma wameandamana kimya kimya na wamejaa nyumbani kwa Lowassa mjini Dodoma wakimshawishi agombee Urais 2015.

Naambiwa ni watu ni wengii hatari na wakiulizwa wanasingizia kuna msiba.

Barabara zimefungwa maeneo hayo ya Area D.

Amani juuyao
 
Taarifa nilizopata kutoka Dodoma Muda huu naambiwa kuwa zaidi ya wanafunzi 100 kutoka vyuo vikuu Dodoma wameandamana kimya kimya na wamejaa nyumbani kwa Lowassa mjini Dodoma wakimshawishi agombee Urais 2015.

Naambiwa ni watu ni wengii hatari na wakiulizwa wanasingizia kuna msiba.

Barabara zimefungwa maeneo hayo ya Area D.

Sio wasomi hao. Ni waganga njaa
 
dalili za miaka kumi mingine ya taabu,dhiki,shida...........''Taifa langu linaangamia kwa kukosa maarifa''
 
Kwel nchi hii inaaribiwa na wasom....yan mtu anayetafuta kuingia ikulu kwa hal na mali lakin bdo wasom wazima wanajipnga nyumban kwake....ikulu ni mahal patakatifu
 
Back
Top Bottom