Wasiotaka Muungano wasikilizwe - Sheikh Mkuu

Tuondoe Nishati katika mambo ya Muungano tuone Umeme Watapata wapi

Sikiliza BRAIN WASH za FARIDI na AZANI wanawaambia jamaa wana visima 72 vya Mafuta wakati QATAR inavyo 17 na wananchi wanaogelea Pesa. Kwa hali hiyo jamaa atanunua nishati popote pale. Lakini kwanza apate japo visima 5.
Na hili ndio Tatizo la Wagonjwa wengi hapo visiwani TAMAA imewagubika, wanataka kuwatumia hao vijana wanyonge na Familia zao kwa Maslahi ya jamii yenye Asili ya Kiarabu.
Waache jamaa Asilia wavae Mkenge, hao Waarabu wana akili za Hayawani si wengi wenu mlikuwa Dubai na kwingineko huko Arabuni, manyanyaso na upendeleo ukawakimbiza Uraia Mkanyimwa Mkaanza kukimmbilia Ulaya. Ulaya imejaa msikubali kuwapa hao kina Bin Laden nchi yenu wana matatizo ya Akili hao.
Siwezi kuwaonya zaidi rudieni Hutuba zao za Mihadhara Mtaelewa Undani wao.
 
Wazanzibari nawajua sana, wanaubaguzi kuliko waarabu na wazungu. Eti uchome makanisa kuupinga muungano! kwani huu ni muungano wa kidini?. Kukosa elimu ni hasara raaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, wajitenge kama hawajapiga marufuku watoto wao kwenda shule na badala yake waende vyuo kusomea dini, sheria za kukata mikono na kupigwa mawe hadi kufa kutekelezwa. Hadi sasa mheshimiwa wa nchi JK na Shain wameshatoa tamko au ni upepo tu unapita? Au wanaandaliwa hotuba za kutoa baadaye siku wakijisikia? Mbona wafuriko ya Dar alitoka mapumzikoni Serengeti akatua Dar kuwapa pole waathirika. Hii imekaaje?
 
ndugu mufti hebu tuambie je ili kundi flani lisikilizwe ni lazima tuchome moto nyumba za ibada?
Je na sisi tunaopenda muungano tuchome moto nyumba za ibada ili tusikilizwe?
 
Mufti Simba;
Asalam Aleikukum
Ninavyoelewa mimi hawa Ndugu wa UAMSHO & CO. wamepewa Sikio kubwa sana na Serekali ya Mapinduzi na ndio maana waliweza kuunda huo umoja na ukasajiliwa.
Na wakaweza kuzishawishi jumuia nyingine zishiriki katika harakati zao.
Kwa bahati Mbaya ya makusudi kabisa walijibagua kwa kushirikisha jumuia za KIISLAMU tu. Na walipewa UHURU wa kufanya Makongamano, Mikutano yahadhara na Mihadhara.
Pamoja na Lugha chafu na Vitisho vilivyofikia kumpa ULTIMATUM Rais SHEIN, bado Serekali Ilikuwa na subira ya hali ya juu na Wanaharakati hao.
Siku moja kabla ya Matukio Viongozi wa Serekali walichukua hatua MUHIMU sana ya kuwaita viongozi wa UAMSHO &CO. na kuwatahadharisha wazingatie taratibu na sheria za Nchi.
Siku ya tukio POLISI wakifanya kazi yao, walimchukua Kiongozi mmoja wa UAMSHO &CO. na hilo likazusha yaliyotokea.
Matokeo hayo yanathibitisha kuwa:

1. Uamsho & co. Hawana Action Plan.
2. Ungozi hauna mamlaka kwa Wafuasi.
3.Wafuasi hawajui HASA malengo na madhumuni ya Uamsho & co.
4.Uamsho ni Chama chenye malengo ya Kisiasa
Kinachojificha Nyuma ya bango la DINI na Kero za Muungano.

Kuna mengi mazuri UAMSHO & CO. waliyoyazungumza ambayo yangetiwa katika Action Plan na Kufanyiwa kazi bila shaka wangekuwa wamefikia hatua fulani inayoeleweka.
Bado nafasi mnayo msifanye mambo kizamani. Hakuna Mwarabu atakaewapignaia wenyewe wamebanwa na Wazungu hawafurukuti.



Pamoja na mabaya yote yaliyofanyika, lakini viongozi wa afrika hasa Tanzania lazima wajifunze kusikiliza wananchi wanachokitaka sio ambacho wao wanakitaka.

Kuna ugumu gani wa kuwapa wafanye kura ya maoni? huwezi lazimisha watu kuishi kwa viongozi wnavyofikiria kuwa. Kama muungano hawautaki ama wana utaka basi kura itaamua.

Kwendelea kuwang'ang'ania nikujitafutia maafa, kuna mataifa yanaona hayo matendo yanavyoendelea na yanajiuliza ala, kumbe kuna jamaa kule wana uwezo wa kuthubu basi ngoja tuwawezeshe. Hayo mataifa yanaona potentials, ya kwamba kama kuna watu pale wanaweza kuchoma kanisa mtu huyu tukimfunda kidogo anaweza kujilipua kariakoo.

Na kuna mataifa mengine yanaona, ala kumbe tukiwawezesha hawa jamaa tunaweza uuza silaha zetu.Ama tunaweza pata mahala pa kuweka majeshi yetu kama strategies.
Kuepukana na hayo inabidi kuwasikiliza watu na hasa pale palipo na uwezekano wa demokrasia kama kura ya maoni watu waruhusiwe.

Viongozi wasikifikiri kama alivyofikiri GADAFFI, viongozi wajifunze kutoka kwa GADDAFI wakati mwingine wachache na waharifu wanasikilizwa. GADDAFI naye alikimbilia kuwaita wale jamaa ni al-kaida akidhani ataungwa mkono na magharibi. Ndivyo hivyo hii ya zenji tusifikirii ya kwamba waliochoma makanisa tukiwaita wahuni inatosha.
 
Mufti wa Tanzania, sheikh Mkuu Issa bin Shaaban Simba, kilichotikea Zanzibar ni mambo ya siasa hivyo basi kama kuna Wanzanzibari hawautaki muungano wanastahili kusikilizwa ili kuepusha balaa.
Chanzo: Gazeti la Nipashe la leo

Mmhh...siasa gani ya kushambulia makanisa tu? mbona misikiti haishambuliwi? kashfa na udhalimu huu wa waislam hauwezi kupewa jina lingine bali itabaki kuwa ni chuki za uislam dhidi ya ukristo, period!
 
Huyu Mufti simwelewi hata kidogo, hawa magaidi wanaojiita UAMSHO ambao hawana tofauti na Al Qaeda, wana hadhi gani ya kusikilizwa?
 
Huyu Mufti simwelewi hata kidogo, hawa magaidi wanaojiita UAMSHO ambao hawana tofauti na Al Qaeda, wana hadhi gani ya kusikilizwa?

Oahh
Hata wale wazee wa pickup wa libya walisikilizwa na umoja wa kimataifa, tena wengine walishawahi kutiwa nguvuni wakiwa na connection na al-qaeda. Hata wale al-qaeda wachache wanaosumbua kule syria wanasikilizwa na umoja wa kimataifa.

Tuwe na tabia ya kuwasikiliza binadamu wengine.
 
Oahh
Hata wale wazee wa pickup wa libya walisikilizwa na umoja wa kimataifa, tena wengine walishawahi kutiwa nguvuni wakiwa na connection na al-qaeda. Hata wale al-qaeda wachache wanaosumbua kule syria wanasikilizwa na umoja wa kimataifa.

Tuwe na tabia ya kuwasikiliza binadamu wengine.

wamesikilizwa ndio maana wakapigwa mabomu! Wewe unafikiri Polisi waliamka overnight wakaanza kurusha mabomu bila kufikiri? Kwa hiyo haiwezekani kusikilizwa mara ya pili maana agenda yao imeshajulikana si Muungano bali ni Ukristo na Makanisa!
 
Na Waliochoma Makanisa Pia Wasikilizwe? Watatuambia yapi Mema? Ndani ya Quran au Bible? AMANI hainunuliwi
 
wamesikilizwa ndio maana wakapigwa mabomu! Wewe unafikiri Polisi waliamka overnight wakaanza kurusha mabomu bila kufikiri? Kwa hiyo haiwezekani kusikilizwa mara ya pili maana agenda yao imeshajulikana si Muungano bali ni Ukristo na Makanisa!

Mie siwatetei hawa jamaa waliochoma, lakini nafikiri hawajasikilizwa madai yao ya msingi ya kwamba iitishwe kura ya maoni kuna ugumu gani hapo?
Kimsingi wasikilizwe iitishwe kura ya maoni, kinyume chake wengi tutanza kushawishika kuamini wanachosema wazanzibari kwamba Zanzibar ni koloni la bara.
Hii ya kurusha mabomu kwa kudai nchi ingeleweka kidogo, kama mkoa ndani ya Tanganyika ingetaka kujiondoa. Lakini kwa Zanzibar bomu mhimu la kuwarushia ni karatasi la maoni.
 
Mufti Simba;
Asalam Aleikukum
Ninavyoelewa mimi hawa Ndugu wa UAMSHO & CO. wamepewa Sikio kubwa sana na Serekali ya Mapinduzi na ndio maana waliweza kuunda huo umoja na ukasajiliwa.
Na wakaweza kuzishawishi jumuia nyingine zishiriki katika harakati zao.
Kwa bahati Mbaya ya makusudi kabisa walijibagua kwa kushirikisha jumuia za KIISLAMU tu. Na walipewa UHURU wa kufanya Makongamano, Mikutano yahadhara na Mihadhara.
Pamoja na Lugha chafu na Vitisho vilivyofikia kumpa ULTIMATUM Rais SHEIN, bado Serekali Ilikuwa na subira ya hali ya juu na Wanaharakati hao.
Siku moja kabla ya Matukio Viongozi wa Serekali walichukua hatua MUHIMU sana ya kuwaita viongozi wa UAMSHO &CO. na kuwatahadharisha wazingatie taratibu na sheria za Nchi.
Siku ya tukio POLISI wakifanya kazi yao, walimchukua Kiongozi mmoja wa UAMSHO &CO. na hilo likazusha yaliyotokea.
Matokeo hayo yanathibitisha kuwa:

1. Uamsho & co. Hawana Action Plan.
2. Ungozi hauna mamlaka kwa Wafuasi.
3.Wafuasi hawajui HASA malengo na madhumuni ya Uamsho & co.
4.Uamsho ni Chama chenye malengo ya Kisiasa
Kinachojificha Nyuma ya bango la DINI na Kero za Muungano.

Kuna mengi mazuri UAMSHO & CO. waliyoyazungumza ambayo yangetiwa katika Action Plan na Kufanyiwa kazi bila shaka wangekuwa wamefikia hatua fulani inayoeleweka.
Bado nafasi mnayo msifanye mambo kizamani. Hakuna Mwarabu atakaewapignaia wenyewe wamebanwa na Wazungu hawafurukuti.



Ondosha pumba zako za kipuuzi hapa, hata iwe UAMSHO ina malengo ya kidini, au ya kisiasa basi wako right kwani wao si ni Wazanzibari au hawana haki ya kuzungumza juu mustakbal ya Z'bar yao, kwanza kajifunze kutamka hiyo "Asalam Aleikukum" alafu utuletee ubinafsi wako hapa na chuki zako za umbumbu.

Hata Mtatiro, Shekh Simba kaliona kuwa ni la kisisa zaidi lakini nyinyi vifuu tundu mnavujisha tuuu hamtaki kuelewa.
 
Huyu Mufti simwelewi hata kidogo, hawa magaidi wanaojiita UAMSHO ambao hawana tofauti na Al Qaeda, wana hadhi gani ya kusikilizwa?

Utamuelewa subiri kidogo tu kaka usiwe na pupa.
Kwa TAARIFA RASMI MIHADHARA YA UAMSHO ITAENDELEA KAMA KAWAIDA NA MUHADHARA MWANZO UTAFANYIKA SIKU YA JUMAPILI JIONI PALE SKULI YA LUMUMBA TRH: 3/6/2012 NA TRH: 26/6/2012 KUTAFANYIKA MAANDAMANO KUANZIA ASUBUHI.

Na pia leo hii trh: 29 May baada ya swala ya alaswir kumefanyika muhadhara Mbuyuni Mjini Z'bar ulimalizika jioni hii.

Source: Salma Said DW (sauti ya ujerumani)
 
elimu ndogo,ndio inawasumbua hawa,jumlisha na ukati wa kurithi toka muscat.
 
Mapenzi ya kulazimishana si ni ubakaji jamani?
Ni bora tuwe na majimbo kama marekani!
 
Ondosha pumba zako za kipuuzi hapa, hata iwe UAMSHO ina malengo ya kidini, au ya kisiasa basi wako right kwani wao si ni Wazanzibari au hawana haki ya kuzungumza juu mustakbal ya Z'bar yao, kwanza kajifunze kutamka hiyo "Asalam Aleikukum" alafu utuletee ubinafsi wako hapa na chuki zako za umbumbu.

Hata Mtatiro, Shekh Simba kaliona kuwa ni la kisisa zaidi lakini nyinyi vifuu tundu mnavujisha tuuu hamtaki kuelewa.

Yaelekea wewe ni Muhindi si Mzaire Angalia kihindi ulichoandika ndani ya mistari yako.
Kama unatarajia fadhila za kina Jusa na hao waarabu kina Azani umekula hasara sana.
Na hapa hapataki Jazba Mkongo (kwanza unapiga chombo gani cha Muziki kama wewe Mzaire kweli?) Hapa ni mahali pa mjadala Hoja Kwa Hoja Ebo!
Sijasema hawako right au hujui neno Haki maana yake?
Nimesema wafuate TARATIBU na SHERIA kudai haki zao/yao.
Na nikaonya Msidanganywe kutegemea Waarabu wenyewe Wamaji sasa hivi Wazungu wanawabana pande zote UNAFAHAMUVOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!
 
Iwapo wazanzibari hawautaki muungano mbona dawa ni ndogo tu!!! Wawape kura Chadema!! Ni Chadema tu ndio walio na sera za kutaka wazanzibari wenyewe wajadili aina ya muungano wanavyotaka! CCM na CUF hawana sera hiyo! Hivi hawa ndugu zetu waislamu wanaliona hilo? Kazi ndogo sana hapo!! Vurugu za nini?
 
Binafsi siamini kama kuna muislam kachoma kanisa maana sio tabia ya waislam.

Ila swala la kulipwa fidia na serikali ya jamuhuli sidhani kama ni issue kwa kuwa kila mwezi serikali hutoa pesa kuasaidia makanisa (MOU) sasa wakiongeza kidogo kucover uhalibifu walioufanya wenyewe sio issue.

Niwakumbushe wanaosema kuna UDINI bongo: Maaskofu walipolalamikiwa kuiunga mkono CHADEMA walitoa kauli kuwa hakuna UDINI.

DINI ni business wajameni.

By: Tume ya katiba (cert. primary education)

we baradhuli acha unafiki...eti sio tabia ya waislam kuchoma nyumba za ibada ...mpaka sasa tokea 2001 hadi 2012 makanisa 23 yamechomwa na waislam huko znz utakujaje hapa na vijineno kenge vyako vya kinafki??? tuacheni na tanganyika yetu...huo utamaduni wa fujo sie hatuna. kaeni na nchi yenu na sisi yakwetu.
 
Back
Top Bottom