TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Uliona wapi mwizi akakemea wizi au gaidi akakemea ugaidi?mh angeanza kwa kukemea halafu aongee hilo
Uliona wapi mwizi akakemea wizi au gaidi akakemea ugaidi?mh angeanza kwa kukemea halafu aongee hilo
mh angeanza kwa kukemea halafu aongee hilo
Nilitegemea Sheikh mkuu angekuwa na uwezo wa kuona kuwa vurugu zinazojitokeza Zanzibar si kwasababu kuna watu hawataki muungano bali ni kwasababu kuna kikundi cha waislam wanaochukia wakristo kwahiyo wanatumia nafasi ya kupinga muungano kueneza chuki na kutekeleza hujuma zao. Kama umebahatika kusikiliza mahubiri ya hawa wana uamsho utaweza kujua kwamba swala hili halijatokea kwa bahati mbaya, ni maandalizi ya siku nyingi. Uzuri mahubiri yao yanapatikana katika CD na DVD.Mufti wa Tanzania, sheikh Mkuu Issa bin Shaaban Simba, kilichotikea Zanzibar ni mambo ya siasa hivyo basi kama kuna Wanzanzibari hawautaki muungano wanastahili kusikilizwa ili kuepusha balaa.
Chanzo: Gazeti la Nipashe la leo