Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Mkuu mimi ni mtanzania kama hao wengine labda kama sina haki kuielewa ; imeandikwa kwa kiwango cha chini sana labda kama iliandaliwa kwa wanafunzi wa shule za kata; kujishusha daraja siwezi game yangu nyingine kabisa wewe ndio unapaswa upandishe kiwango
Chama
Gongo la mboto DSM
hata tahira/kichaa anayeokota makopo jalalani siku zote hujiona yuko sahihi kufanya vile!!