jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,062
- 28,252
Dovutwa ni NANI? Hivi unasema ukweli au unatania? Hata Mzee Slaa anasema Magufuli ana afadhali ila siyo msafi pia.
Sasa kama pia si msafi, kwa nini kweli asiwe Dovutwa au Mama wa ACT? Mnaposema Hapana Magufuli au Lowassa, tuambieini sasa tumchague nani. Hii kusema tu hapana Lowassa kama MMM maana yake kwa wengi ni kuwa mchagueni Magufuli. Msimame kama WANAUME wa kweli na mseme mnamtaka nani na mtangaze waziwazi kama mnavyosema kwa Lowassa kuwa Magufuli pia ni Fisadi. Vinginevyo nyie ni team Magufuli au team Lowassa.
Ziku zimekwisha, mwakani Rais ni Magufuli au Lowassa tupende tusipende. Hii kuzunguka kujibaraguza eti Dovutwa sijui nani, ni kazi ya Wanawake au Mashoga. Wanaume choreni mstari na muhesabike mko wapi.
Mie sipo kwenye team yeyote ile hadi leo ingawa sifichi hisia kuwa SIIPENDI CCM. Ila kuanzia mwezi November, nitampa heshima zote yeyote aliyechaguliwa kuwa Rais wa Tanzania na ntakuwa tayari kumrarua Mkenya akija na kusema Lowassa aliji.... au Magufuli alikwenda kwa Babu wa Loliondo. Ntauwa mtu kumtetea Rais wangu wangu hata kama ni Dovutwa.
BTW: Usiku huu hamjalala, nyie mko wapi kweli? teteteteee......
Hivi wewe Sikonge hukuwa kwenye kundi la kumfurusha fisadi kule ccm au kutaka fisadi afurushwe ccm?
Sasa baada ya fisadi kufurushwa chadema wakamkimbilia kwenda kumuomba ajiunge nao.Huo ndio unafiki wa Lissu,Mbowe,Mnyika,Marando na wewe.
Yaani mnajifanya kusahau furaha ya watu baada ya ccm kumuweka fisadi pembeni..Chadema badala ya kuja na best candidate wa kuisimamia ajenda yao ya ufisadi wao wakaturudishia fisadi kwenye kinyang'anyiro...ccm imekata wengi sana sielewi upofu wa chadema ilitokana na nini.
Last edited by a moderator: