meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Hii ni thread maalum ya wale wote wanaoukataa ufisadi katika mavazi yake yote.
Ni thread ya mashujaa wa kweli wanaopambana dhidi ya ufisadi hata pale unapojipa majina mapya!
Ni thread ya mashujaa na kwa ajili ya mashujaa wote waliosimama,wanaosimama na watakaoendelea kusimama dhidi ya mafisadi!
Ni thread ya waliopiga kelele na kuendelea kupiga kelele na watakaoendelea kupiga kelele dhidi ya mafisadi na ufisadi nchini Tanzania.
Ni thread kwa ajili ya waliowahi kuibuka,wanaoibuka na wayakaoibuka kuupinga ufisadi!
Ni thread ya kuunda umoja dhidi ya ufisadi uwe unatoka kwa CCM,CHADEMA,CUF au chama chochote au mwanasiasa yoyote anayesimama ipande wa ufisadi kwa nia yoyote ile.
Ni thread inayotambulisha maadui wakuu wa ufisadi Tanzania ili ikibidi historia iwahukumu katika hilo.
Ni katika thread hii ndio itatupasa kukumbushia aina ya ufisadi na mafisadi.
Ni katika thread hii tutatakiwa kuwataja na kuweka kumbukumbu na hukumu za kijamii dhidi ya mafisadi...yaani ukitajwa hapa ndio utakuwa umehukumiwa
Ni katika thread hii mtuhumiwa wa ufisadi ataweza kujitetea au kujisafisha.
Ni katika thread hii ushahidi wa ufisadi uyawekwa baada ya uthibitisho ukiwa na baraka za TCRA..
Hii iwe thread maalum ya mahakama ya kijamii ya mafisadi kwani sio serikali au vyama vya kisiasa vinavyoweza kuhukumu kwa haki na kutoa majibu ya nani hasa ni fisadi bali ni sisi pekee kama wana jamii forums ndio wenye mamlaka ya haki na huru na ya kimantiki ya kuhukumu mafisadi.
Thread hii iwe mwiba na eneo hatari kwa kiongozi kitajwa kwenye ufisadi.
Thread hii itumike kama laana ya kiongozi au yoyote yule awaye mtanzania kuhusishwa na ufisadi.
Orodha ya kweli na haki ya aibu (list of shame) iwekwe hapa.
Mods wawe na mandate ya kumfuta yule ambaye atasingiziwa ili tu aingizwe kwenye list yetu mpya ya ufisadi.
Thread hii isibebe Chama au mtu flani bali ibebe maslahi mapana ya nchi..!
Watu muhimu wenye michango yenye kura ya veto kwenye thread hii wawe kina ...
MzeeMwanakijiji Susuviri @Dr W.P Slaa Invisible na wengine ambao robot la JF litaona inafaa...
Let JF get back to its roots...!
Ni thread ya vizazi vyote vitakavyojiunga JF isiyoathiriwa na mihemko!
Thread hii iwe na gia moja tu isiwe na gia za angani au majini au ardhini..!!
Ni thread ya mashujaa wa kweli wanaopambana dhidi ya ufisadi hata pale unapojipa majina mapya!
Ni thread ya mashujaa na kwa ajili ya mashujaa wote waliosimama,wanaosimama na watakaoendelea kusimama dhidi ya mafisadi!
Ni thread ya waliopiga kelele na kuendelea kupiga kelele na watakaoendelea kupiga kelele dhidi ya mafisadi na ufisadi nchini Tanzania.
Ni thread kwa ajili ya waliowahi kuibuka,wanaoibuka na wayakaoibuka kuupinga ufisadi!
Ni thread ya kuunda umoja dhidi ya ufisadi uwe unatoka kwa CCM,CHADEMA,CUF au chama chochote au mwanasiasa yoyote anayesimama ipande wa ufisadi kwa nia yoyote ile.
Ni thread inayotambulisha maadui wakuu wa ufisadi Tanzania ili ikibidi historia iwahukumu katika hilo.
Ni katika thread hii ndio itatupasa kukumbushia aina ya ufisadi na mafisadi.
Ni katika thread hii tutatakiwa kuwataja na kuweka kumbukumbu na hukumu za kijamii dhidi ya mafisadi...yaani ukitajwa hapa ndio utakuwa umehukumiwa
Ni katika thread hii mtuhumiwa wa ufisadi ataweza kujitetea au kujisafisha.
Ni katika thread hii ushahidi wa ufisadi uyawekwa baada ya uthibitisho ukiwa na baraka za TCRA..
Hii iwe thread maalum ya mahakama ya kijamii ya mafisadi kwani sio serikali au vyama vya kisiasa vinavyoweza kuhukumu kwa haki na kutoa majibu ya nani hasa ni fisadi bali ni sisi pekee kama wana jamii forums ndio wenye mamlaka ya haki na huru na ya kimantiki ya kuhukumu mafisadi.
Thread hii iwe mwiba na eneo hatari kwa kiongozi kitajwa kwenye ufisadi.
Thread hii itumike kama laana ya kiongozi au yoyote yule awaye mtanzania kuhusishwa na ufisadi.
Orodha ya kweli na haki ya aibu (list of shame) iwekwe hapa.
Mods wawe na mandate ya kumfuta yule ambaye atasingiziwa ili tu aingizwe kwenye list yetu mpya ya ufisadi.
Thread hii isibebe Chama au mtu flani bali ibebe maslahi mapana ya nchi..!
Watu muhimu wenye michango yenye kura ya veto kwenye thread hii wawe kina ...
MzeeMwanakijiji Susuviri @Dr W.P Slaa Invisible na wengine ambao robot la JF litaona inafaa...
Let JF get back to its roots...!
Ni thread ya vizazi vyote vitakavyojiunga JF isiyoathiriwa na mihemko!
Thread hii iwe na gia moja tu isiwe na gia za angani au majini au ardhini..!!