Wasichana wenye elimu ya juu,ni matatizo.

Mke wangu ana MBA na anafanya kazi, kipato chake ni kikubwa kidogo ukilinganisha na cha kwangu, lakini hanisumbui nadhani usi-generalize bana
 
Ushauli kwa vijana ambao hamujao zingatia kuchagua wachumba, achana na wasichana wenye madigree wasumbufu kinoma, kama unaye pole na muombe mungu atakusaidia uishi nae. Am sory for inconviniences that may arise,but that is factual and will help you young boys.

Tatizo linalowakuta vijana wengi ni kwamba wanapokuwa katika mahusiano na wasichana wenye madegree, huwa wanakuwa na mapenzi fake, wanafanya hata majukumu ya msingi kabisa kwa mwanamke. Utakuta mtu anamdekeza gf hadi kupita kiasi ili aonekane anampenda kumbe ndo anaharibu.

Mwanaume unatakiwa kujiamini, from day one mwanamke akiingia kwenye himaya yako anatakiwa afahamu msimamo wako. Hata kama ana phd na wewe umemaliza shule ya kata muhimu ni kujitambua na kujiamini. Mwanamke atakuheshimu tu, lakini ukitaka kufanya matangazo kwamba umeoa msomi bila kuweka msimamo wako toka mwanzo ndo huishia kujutia kuoa mwanamke msomi.

As long sisi ni waafrika, ni muhimu kuziheshimu na kuzilinda mila na tamaduni zetu zinazotutofautisha sana na wazungu, waarabu ama wahindi. Ukijaribu kuleta mambo ya uzungu uswazi lazima mtashindwana tu.
 
Acha kukurupuka na kugeneralize mambo,hakuna ukeli kwny hii thrd yako,kwa hiyo watu wakaoe machangudoa sababu wenye bachelor ni wasumbufu?pole kama ulikutana na wa hivyo,mbona wife anayo na yuko poa tu?acha hizooooo!
 
Ushauli kwa vijana ambao hamujao zingatia kuchagua wachumba, achana na wasichana wenye madigree wasumbufu kinoma, kama unaye pole na muombe mungu atakusaidia uishi nae. Am sory for inconviniences that may arise,but that is factual and will help you young boys.

Mkuu sitaki kuwa na mashaka na kiwango chako cha elimu ila nahisi kamfumo dume ndio tatizo hapo .........ma graduate hawapendi kuburuzwa ...wanapenda sana kushirikishwa kimaamuzi na tena utafurahia mahusiano kwa kiwango cha lami ukiweza kuziheshimu hisia zake kwa kumfanya asijutie kua nawe kwa kumfanya kua yeye ndio ukamilifu wako i mean bila yeye hakuna wewe ....ukijifanya bandidu hakuna rangi utaachaona jombaa.....(Yatawezekana haya ikiwa ulivyomwambia unampenda ulimaanisha )
 
sidhani kama hili lina ukweli wowote, there is no relationship kati ya mapenzi na elimu.kama ni tabia ya mtu kuwa na mambo ya ajabu atakua nayo tu iwe ana PHD au ni std 7
 
Umetoa maelezo mazuri ulipochemsha ni kutoa mifano ya wazungu. Acha kuchanganya tamaduni wewe usiige. Hata hivyo mila zetu ni nzuri mwanamke lazima amuhudumie mume ipasavyo


Lol,. Men with their selfishness attitudes, they never seize to amaze me! Yaani mume ndo afaa kuhudumiwa na mke je ahudumiwa na nani? Ndoa ni muunganiko wa watu wawili ambao kiroho hufanya kuwa ktk umoja. Sasa umoja huo mnaoumaanisha ni upi iwapo mmoja wapo hupenda kujaliwa kuliko mwingine?
 
Ndo maana walitakiwa walee watoto,haya mambo naturaly sio yao!
 
utakoma...
kusoma hatuachi...
tumesoma na tutazidi kusoma
kama Elimu ya mtu inakutisha nakupa pole....

Nadhani hapa suala sio mtu kutishwa na elimu ya mtu. Hapa hoja ni kwamba wanawake kwakisoma wanakuwa na nyodo. hawaheshimu wanaume kadiri inavyopaswa. Hebu tuangalie hili ni kweli? Mimi binafsi naona ni kweli. tusipindishe hoja
 
Hivi umesoma hadi darasa la ngapi vilee mimi nimeishia darasa la nne

Yaani hukumbuki
Nlimaliza kabla yako
Nina PHD ya vijidudu..
Nlikushinda kuhesaba vifiniko vya bia
Nkapandishwa darasa kuhesebu vujiti..
Nakuandika kwa penseli wakati we bado
Ulikuwa unaandika mchangani..
 
Nadhani hapa suala sio mtu kutishwa na elimu ya mtu. Hapa hoja ni kwamba wanawake kwakisoma wanakuwa na nyodo. hawaheshimu wanaume kadiri inavyopaswa. Hebu tuangalie hili ni kweli? Mimi binafsi naona ni kweli. tusipindishe hoja

Wewe unasema ni kweli..
Wich means una uhakika na usemalo, umewahi kuwa nao au una evidence
Fulani ya ku support jibu lako..

Na solution yako ni nini?
 
mkuu naungana na wewe mwanamke kadri elimu inavyozidi kupanda anarudi kuwa zuzu ushahidi ninao na leo ntasema yote nimeshuhudia.mwanamke wa kiafrika akisoma anasahau yale maadili na heshima yake kama mwanamke. kuna hostel moja huku kwetu imegeuzwa danguro wamechafua mtaa wamewageuza na kuwabadìlisha watoto wa kike mtaan kwetu waliokuwa na woga na maadili mema na sifa za kuitwa mtoto wa kike sasa mtaa umechafuka yaani kila kona ya mtaa ni minara tuu wamesimamisha usiku, kweli hapo kutakua na mke msomi wa kumtii mwanamme wake?kwa jinsi hali niionayo mtaa sitasita kutofautiana na mtu yeyote yule ateteaye madudu haya...ughuuhh...eboooh
 
Pole, inaonekana yashakukuta. Lakini nafikiri hii mentality wanaume tunatakiwa tuiondoe. Kinachosumbua hapa ni tu kwamba msichana liyesoma anazijua haki zake za msingi, kwa hiyo hatakubali kutumiwa kama duludoza. Na hapo ndo tatizo linapoanzia, maana wanaume wengi tunapenda tuonekane kama miungu watu. Lakini ukichukulia poa, ukawa unafanya naye mambo yote kwa kuzingatia usawa; (I mean unafua, unapika, unadeki unafagia uwanja pale unapoona inawezekana) hakuna utakachoona kigumu. Kwa kawaida mwanamke msomi ana kazi sawasawa na wewe. Kwa hiyo kama ambavyo wewe usivyo na nafasi, yeye pia hana. Kwa hiyo hawezi kuwa na muda mkubwa sana wa kukutumikia wewe tu. Kwa kiasi kikubwa mnahitaji mfanye kazi kwa usawa. Ndo maana wazungu wanawekeana zamu kwa kila kitu.

Umesomeka mkuu lakini waafrika tuna mila zetu na tamaduni zinazozungumzia mgawano wa majukumu kijinsia, ila kama wewe umeshakuwa alien wa ulaya na amerika si vibaya pia kuendelea na unachoamini.
 
Yaani hukumbuki
Nlimaliza kabla yako
Nina PHD ya vijidudu..
Nlikushinda kuhesaba vifiniko vya bia
Nkapandishwa darasa kuhesebu vujiti..
Nakuandika kwa penseli wakati we bado
Ulikuwa unaandika mchangani..
Dah!!! Ndio maana hadi leo huwa nakuogopa, mimi kipindi kile nilikuwa busy kwenda kutungua maembe, Klorokwin nae hata la kwanza hakumaliza sababu ya kuuza peremende huku Hashycool alikuwa busy na kufuga bata matokeo yake akaishia Daarasa la pili, ukiangalia utagundua nimesoma kuliko wote hao
 
Hivi nyie mnaotukana wanawake
Wasomi wa Ki Africa inamaana
Dada zenu, mama zenu, watoto wenu
Wa kike
Hawajasoma au hamtaki wawe wasomi??
 
Dah!!! Ndio maana hadi leo huwa nakuogopa, mimi kipindi kile nilikuwa busy kwenda kutungua maembe, Klorokwin nae hata la kwanza hakumaliza sababu ya kuuza peremende huku Hashycool alikuwa busy na kufuga bata matokeo yake akaishia Daarasa la pili, ukiangalia utagundua nimesoma kuliko wote hao

Hahahahahaha..
Umenikumbusha "old days "
Na ile kitu " Natafuta infi" lolz..

Sasa nimemaliza vijidudu vyangu
Kabla yenu mnaanza sema naringa..
Mtakula ngumu ya jeshi..
Hakuna alienisomesha na ninaringia
Kitu nlichopata kwa akili zangu
Khaaa niacheni nringe.
Teh teh teh teh lolz.

Hawa majamaa wameadimika
Klorokwin karudishwa darasa na
mwalimu fisi.. Hashycool alimpiga mwalimu
Na yai viza .. Uporoto na ye alitoroka .......
 
Hivi nyie mnaotukana wanawake <br />
Wasomi wa Ki Africa inamaana<br />
Dada zenu, mama zenu, watoto wenu<br />
Wa kike<br />
Hawajasoma au hamtaki wawe wasomi??
<br />
<br />
mkuu sometime ukweli unauma issue hapa sio kuwatukana tunachohofia sisi hapa ni kuja kuwa na kizazi chenye wanawake makafiri wasio watii waume zao. ni lazima tukemee hili na kwa nguvu zetu zote...mwanamke akibadilika jamii nzima imebadilika tatizo hujui hiloo
 
Back
Top Bottom