- Thread starter
- #61
Thawa beb njoo basi chumbani tutekenyane hawa maadui wajinyonge.ukirudia tena nakuacha for good i promise you that.
Hujatoa maoni kuhusu hawa mabinti wanaopotea kiajabu.
Thawa beb njoo basi chumbani tutekenyane hawa maadui wajinyonge.ukirudia tena nakuacha for good i promise you that.
Thawa beb njoo basi chumbani tutekenyane hawa maadui wajinyonge.
Hujatoa maoni kuhusu hawa mabinti wanaopotea kiajabu.
Nimefatilia kwenye TV kama wiki mbili mkuu umri ni huo tu 16-19,hawapotei wadogo zao 8-14.Mjini mambo mengi wajameni
Si nilikuja kwako nikiwa mgeni wa mambo haya laaziz sasa tuhuma hizi vipi au unadeka georgeous.me nahisi ushawahi mpoteza mmoja au wawili.
Nimefatilia kwenye TV kama wiki mbili mkuu umri ni huo tu 16-19,hawapotei wadogo zao 8-14.
hapa ulimaanisha nini mkuu lol!.... kukuma PROPOSAL ...
Pole kwa yaliyokukuta zamani kwa uelewa wako kule internationa forum sidhani kama ni sasa.Mi nilitoroka kwetu walikua wananitesa (mama wa kambo).
Sasa niko kwa Anti na Uncle, najiskia huru sana oa
Wananilipia hostel during the week, weekend naenda kwao
My point is: sometimes wasichana hao wanatoroka/toroshwa kwa sababu za kijamii.Pole kwa yaliyokukuta zamani kwa uelewa wako kule internationa forum sidhani kama ni sasa.
hapa ulimaanisha nini mkuu lol!
sawa ndio maana natafuta majibu kwanini age iwe hii tu ? 16-19 na sio tuseme wa miaka 10 au 12.My point is: sometimes wasichana hao wanatoroka/toroshwa kwa sababu za kijamii.
Probably sababu miaka hiyo mtoto anakua old enough to dare,sawa ndio maana natafuta majibu kwanini age iwe hii tu ? 16-19 na sio tuseme wa miaka 10 au 12.
Nisamehe baby nilikesha kazini kumaliza ripoti.pokea hii,na hug,napia tupendane tuzae mapacha.:A S-rose::hug::mimba:
Haya na tuanze kumpigia debe kwa Judgement manake ameamua kumchukua jumla. Mtafute husni akuje hapa tuwapige ndoa ya mkeka fasta!wonders shall never end.
Kumbe limbwata la Mpwapwa feki
simpi mateka wangu asije akanikana hadharani
husyn, kwa maneno haya kanywe maji ya generator.
Anakuja shemeji, anamalizia kujifuta machozi ya furaha... Haamini kama umempokea kwa mikono miwili... Vuta subira shem.Husny , mbona unachelewa kuja ?
Ukizidi kuchelewa nalipuka na Thread maalumu!
Hata ukiniumbua potelea kwa mbali, Nzi kufa kidondani is not big issue !
Husny , mbona unachelewa kuja ?
Ukizidi kuchelewa nalipuka na Thread maalumu!
Hata ukiniumbua potelea kwa mbali, Nzi kufa kidondani is not big issue !
Anakuja shemeji, anamalizia kujifuta machozi ya furaha... Haamini kama umempokea kwa mikono miwili... Vuta subira shem.
samahani mpenzi, unajua sikurudi tena hapa. Love u honey.. Plz be mine.