- Thread starter
- #21
Sijapotelewa ila huwa nashangaa hawapotei wa miaka 8-14 ila hawa tu.Khaaa, hahahaha! Jamani shemu ni wewe au naota....lol..
Kuhusu wasichana kupotea inategemea bana, ila nijuavyo mimi asilimia kubwa( kuanzia 18 yrs na kuendelea) huwa wanajipeleka kwa wanaume.....we fikiria kabinti kaingie kwenye mikono kama ya jibaba klorokwini sangapi katakumbuka kurudi kwao? Wazazi wanasubiri weee mpaka wanachoka mwisho wanaamua kwenda kwenye vyombo vya habari kutangaza! Vipi shemeji umepotelewa au?