Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Husyn, umekwisha ndugu yangu
kiserengeti chako kimekukana hadharani
hehehe! Nina hazina ya kutosha, ngoja nivute mwingine fasta.
Husyn, umekwisha ndugu yangu
kiserengeti chako kimekukana hadharani
hehehe! Nina hazina ya kutosha, ngoja nivute mwingine fasta.
ndo maana mie ninao 2 halali, vidumu 2, wake 2
sitaki shida.
Nipo na kabakabana kuanzia mkesha wa mwaka mpya lol!
Umenikumbusha mbali huyo chogo chemba umewahi kuona picha yake ? ana sura mbaya huyo walimwita eti ana 'sura ya kufa'.
Mwammbbiee!
Eti anadesh kuziba Jua na Ungo ! Inahu... ?
Hawapotei bana ni dili tu, tena iyo dili wanaipanga hao wadada wenyewe. Ukikuwa nao gesti wanakwambia acha nijipakazie nimetekewa ili tupate uhuru wa siku mbili tatu. Wanawake bana!
Swahiba kaoge maji ya magadi sio bure, nna mashaka na kabakabana...uporoto kalewa ile mistari yake khaa!khaaaa! Ngoja nikatafute replacement love connect.
Hehehe! Yaani wewe hufi kwa sukari wala puresha...ndo maana mie ninao 2 halali, vidumu 2, wake 2
sitaki shida.
Msamehe alizaliwa/kulia Checkoslovakia na kurudi akiwa mkubwahujaeleweka hapo umetekelewa inamaana gani?
Hehehe, kumbe mtwara panaitwa hivyo sikuhizi? Shem bana.Msamehe alizaliwa/kulia Checkoslovakia na kurudi akiwa mkubwa
Hahaha! Kabakabana mbona hajafikia umama jamani bado yuko kwenye twenties lol!
Judgement anamzungumzia mkeo husninyo sio kabakabana!
Huyo husninyo ni member hapa Jei Efu ?
Nipo na kabakabana kuanzia mkesha wa mwaka mpya lol!
Umenikumbusha mbali huyo chogo chemba umewahi kuona picha yake ? ana sura mbaya huyo walimwita eti ana 'sura ya kufa'.
Nipo sweety.Hivi wewe upo?
huo wivu wa kawaida tu.akha kwani me wa kwako?ni husy huyoo
Nilibanwa kazini luv naahidi kutopotea JF tena naweza kukukosa hivihivi nuksi wengi humu(katavi,kongosho na judgement) amyney na sweetlady nao siwaamini.nimekuacha tangu ulipoenda kwa shangingi lako wa kino.
Nipo sweety.
huo wivu wa kawaida tu.
Nilibanwa kazini luv naahidi kutopotea JF tena naweza kukukosa hivihivi nuksi wengi humu(katavi,kongosho na judgement) amyney na sweetlady nao siwaamini.
Nisamehe baby nilikesha kazini kumaliza ripoti.pokea hii,na hug,napia tupendane tuzae mapacha.:A S-rose::hug::mimba:hny jamani mbona hukurudi home siku mbili?me staki
Nisamehe baby nilikesha kazini kumaliza ripoti.pokea hii,na hug,napia tupendane tuzae mapacha.:A S-rose::hug::mimba: