Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
nasikia ni saut yote,infact,kila chuo kina malalamiko juu ya wasichana wanaosoma huko!
Ila,haimaanishi kila aliyepo maeneo hayo yupo kama ulivosema,....
Katika kila kundi la wengi (wawe waovu au wema) lazima kuna wachache walio tofauti kabisa na hao wengi!
Vipi kama wangu yupo hapa na yeye ni tofauti?
Ila,haimaanishi kila aliyepo maeneo hayo yupo kama ulivosema,....
Katika kila kundi la wengi (wawe waovu au wema) lazima kuna wachache walio tofauti kabisa na hao wengi!
Vipi kama wangu yupo hapa na yeye ni tofauti?