JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,823
- 14,173
Wakuu,kama una mpenzi,anaesoma saintaugustine,malimbe CAMPUS mwanza,kuwa makini,kuna kahosteli kamoja karibu na barabara ya kwenda chuoni,wadada wanaoishi hapo ni baraa tupu,they are just golddigers,wanabadilisha wanaume kama hawana akili nzuri vile,
Ni wasomi,lakini madudu wayafanyayo yanatisha,
Ndugu zangu kwa alie na mpenzi maeneo hayo,awe makini,mnaweza mkawa mpo hata watano,na wate mna hudumiwa,
I speak from experience,cioo guys.
Ni wasomi,lakini madudu wayafanyayo yanatisha,
Ndugu zangu kwa alie na mpenzi maeneo hayo,awe makini,mnaweza mkawa mpo hata watano,na wate mna hudumiwa,
I speak from experience,cioo guys.