Jamani nakuombeni msaada wenu. Kuna jamaa yangu kaniulizia habari za mabinti wa kipare baada ya kusoma za wasichana wa kichaga. Sasa yeye lengo lake ni kujua tu labda mambo muhimu kama sifa zao hawa wapare kama wake. Je wanastahimili hali ya uanamke ndani ya nyumba au nimemshauri akaangalie kwingine
Tuwe fair. Last time nilimshauri rafiki yangu mmoja kuwa akiangalia sana sura anaweza kwenda kuwaoa wairaqw lakini ajiandae kwa kuteswa na mke kwakuwa wale jamaa nje wanaachia sana.
Best
Tuwe fair. Last time nilimshauri rafiki yangu mmoja kuwa akiangalia sana sura anaweza kwenda kuwaoa wairaqw lakini ajiandae kwa kuteswa na mke kwakuwa wale jamaa nje wanaachia sana.
Best