good boy!!!!
Good girl!!!!
Good boy!!!!
What if he "claimed" it was the reason of infidelity? i mean his wife was ISC member?
Ushindwe! na ule............!!!!!jamani wakina dada msioolewa harambee harambeeeee!KARIBUNI KWETU TULIOOA NA AMBAO TUNAISHI NA WAKE ZETU....
1-tuna uzoefu na wakina mama
2-tunawamudu
3-tunawajali
4-tumewazoea
5-hatutawaangusha
karibuni sana jamani!
NASUBIRI PIEMU
jamani wakina dada msioolewa harambee harambeeeee!KARIBUNI KWETU TULIOOA NA AMBAO TUNAISHI NA WAKE ZETU....
1-tuna uzoefu na wakina mama
2-tunawamudu
3-tunawajali
4-tumewazoea
5-hatutawaangusha
karibuni sana jamani!
NASUBIRI PIEMU
The POWER of LOVE !!!!
kama ndio hivyo basi hata mwanamke aliyeachana na mumewe kamwe asiolewe
ushindwe! Na ule............!!!!!
We are not spare tires!
We need brand new one,you are used!
samahani kama nimewakwaza! Lol!
halafu wewe umeanza !ngoja nimwambie wiselady asishuke mlimani.halafu kwa nini chatrum imehamishiwa kwa wakubwa? Na wewe sio pirimiamu memba!nakushauri ufuate msemo wa mkono mtupu haulambwi
zd hebu njoo kwangu i am brand new not used assembled in us and made in us not made in china-ni pm fasta kabla sijachukuliwa na mtu mwingine
preciselyHapa, MPANGO WA NJE NDO MPANGO MZIMA!!!!
Habari zenu wote.
Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii
NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11