Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,419
- 159,659
Wanawake wanawaendesha sana,kusema live hawawezi wanakuja kupumulia mitandaoni
tena mingine mibaba mijitu mizimaa ila utafikiri inapum...wa!!
Wanawake wanawaendesha sana,kusema live hawawezi wanakuja kupumulia mitandaoni
?????????????????Bora useme make tukisema sie watasema limetuchoma
Kwa hiyo kumjambia ndio solution?,halafu umesema unamtingishia kiuno aangukie makalioni,sasa hapo si ndio anadumbukia kwenye tigo na ndio unaanza kujamba au vipi? fafanua.View attachment 358350 hahahahaha nimejikuta naangua kicheko hahaha
Sio supu ya utumbo bhana,ni uji wa mtori na kisusio.zee wa supu ya utumbo utawajua tu,................
Taaaamuu enh.Bhaaaaa
Hahahahah Evelyn nakupendaa aisee. Majibu yako ni weapons of mass distractions,hahahKweli hawa ni wa kuwa Jambia tu, kelele miiingi ooh mwanamke ili uolewe fanya hivi kuwa vile pyeee ndoa ina mashart kama mganga
Hizi ngonjera wala huwa hazina uhalisia hata kidogo, hazina uhalisia hata kidogo
Watu tunatofautiana, hata vigezo vya kumtafuta mwenzi vinatofautiana pia....
Kama we unapenda tabia, wengine wanapenda sura, wengine shape n.k sifa zako sio sifa za kila m
tu kukariri hizi ujinga muache
Mkuu umenichekeshaaa mnooo tnx long live JFTukitoka kwaya basi. Ambao hatupo mjini, hii misamiati inatuacha sana.