Washabiki wengi wanaoshabikia Timu ya Simba wamekaa kiugomvi ugomvi

Mr Nyau

JF-Expert Member
Oct 18, 2018
1,128
2,338
Washabiki wengi wanaoshabikia Timu ya Simba wamekaa kiugomvi ugomvi

Tofauti na timu zingine Kama Yanga , Azam, n.k tatizo linakuwa nini?

Maana wao wakifungwa wanafanya fujo ushabiki wao ni wa fujo fujo tofauti na timu zingine mfano Timu ya wananchi (Yanga)
 
Washabiki wengi wanaoshabikia Timu ya Simba wamekaa kiugomvi ugomvi

Tofauti na timu zingine Kama Yanga , Azam, n.k tatizo linakuwa nini?

Maana wao wakifungwa wanafanya fujo ushabiki wao ni wa fujo fujo tofauti na timu zingine mfano Timu ya wananchi (Yanga)
Vyura at work 😂
 
Back
Top Bottom