Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 259
WASANII WANGU 10 BORA WA HIP-HOP KUWAHI KUWASHUHUDIA HAPA BONGO.
1. PROFESA JAY
2. ALBERT MANGWAIR(r.i.p)
3. JAY MOE
4. JUMA NATURE
5. MWANA FA (Mwanafalsafa)
6. FID Q
7. AFANDE SELE
8. CHID BENZ
9. SOLO THANG
10. JOHN MAKINI
NB:Wadau wanaweza kumuulizia Sugu,Namuheshimu Sugu kwa mchango wake mkubwa kwenye Hip Hop. Ni mwanadamu pekee mwenye Album nyingi zaidi namuheshimu kwa hilo,kaupa sana mziki ramani.
Kwainspire wasanii wengi kufanya Hip Hop,,Lkn kwangu sio mwana muziki naemuelewa sana. Ila namuheshimu. Unadhani nani haistaili kuwa kwenye hii List? Na kama akitoka akae nani na kwa kigezo gani?
#Forgive Me
1. PROFESA JAY
2. ALBERT MANGWAIR(r.i.p)
3. JAY MOE
4. JUMA NATURE
5. MWANA FA (Mwanafalsafa)
6. FID Q
7. AFANDE SELE
8. CHID BENZ
9. SOLO THANG
10. JOHN MAKINI
NB:Wadau wanaweza kumuulizia Sugu,Namuheshimu Sugu kwa mchango wake mkubwa kwenye Hip Hop. Ni mwanadamu pekee mwenye Album nyingi zaidi namuheshimu kwa hilo,kaupa sana mziki ramani.
Kwainspire wasanii wengi kufanya Hip Hop,,Lkn kwangu sio mwana muziki naemuelewa sana. Ila namuheshimu. Unadhani nani haistaili kuwa kwenye hii List? Na kama akitoka akae nani na kwa kigezo gani?
#Forgive Me