Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 259
Wasanii wangu 10 bora wa Hip Hop wa muda wote;
1. Albert Mangwair
2. Profesa J
3. Jay Mo
4. Juma Nature
5. Mwana FA
6. Afande Sele
7. Fid Q
8. Joh Makini
9. Chid Benz
10. Solo Thang
Nimezingatia Mashairi, mtiririko, album. n.k.
NB. Namuheshimu Sugu ni mmoja ya waasisi wa Hip Hop ila uchanaji wake kwangu haujawahi kunivutia, najua anazo album zaidi ya 10.
Unahisi nani hastahili kuwa kwenye hiyo orodha kwa mtazamo wako, na akitoka aingie nani?
#forgive Me.
1. Albert Mangwair
2. Profesa J
3. Jay Mo
4. Juma Nature
5. Mwana FA
6. Afande Sele
7. Fid Q
8. Joh Makini
9. Chid Benz
10. Solo Thang
Nimezingatia Mashairi, mtiririko, album. n.k.
NB. Namuheshimu Sugu ni mmoja ya waasisi wa Hip Hop ila uchanaji wake kwangu haujawahi kunivutia, najua anazo album zaidi ya 10.
Unahisi nani hastahili kuwa kwenye hiyo orodha kwa mtazamo wako, na akitoka aingie nani?
#forgive Me.