Afadhali Mkuu, umemaliza ubishi.
Sasa wale ndugu zetu wa Real Estate au Quantity Surveyors, tunaomba makisio tu, kwa kuiangalia nyumba hii ina thamani gani?
Tusubirie Michelle Show.....!
Haaaa haaaa hiyo SMH . . . . angalia MODS wasije wakakupiga ban ya kudumu. Ndo maana mimi napeta tu, kumbe TF hayupo? naona alikuwa busy sana na misiba. time hivi nilimwona mahali, ila najua hakunitambua . . . lol
Hii issue mkuu, inawezekanika . . . mimi nimefanya maandalizi fulani hivi . . . ila tutaongea uraiani (PM). Uko poa lakini?
Lesson Learnt: Inawezekana kabisa kupata pesa nzuri bila ufisadi wala bila kubebwa. Juhudi na maarifa ndiyo siri ya mafanikio.
Big up sana vijana wetu. Wasanii na Wanamichezo wengine tuige mfano.
Mkuu, hebu wasikilize Madame Rita na Sinta wanavyoongelea hizo talk Show zao:
MADAME RITA
"Nimekuwa impressed kufanya TV show hii after I met a male tailor aged 50 ambaye ni mlemavu wa macho lakini alinishonea gauni la batiki kwa kutumia vifaa na cherehani zinaotumiwa na mafundi wa kawaida iliyonifanya niamini kuwa ulemavu si kikwazo cha kufanikiwa hata kidogo katika rnaisha" "Following that niliamua kuanzisha" TRUE LIFE SHOW"ambayo ni platform ya kuongelea matatizo mbalimbali with solutions,biashara pamoja na mafanikio ya watu mbalirnbali"
"Show nimeanza kuifanya muda mrefu lakini imechelewa kwenda hewani kutokana na BSS All Star, lakini sasa nimeanza ku-shoot series za show hiyo, na mungu akipenda earlier this year utaiona "True Life" on favorite TV station:'
SINTA
"Show yangu itakuwa katika mfumo wa documentary ambayo itakuwa inahusu vitu tofauti like different current issues, mambo ya wanyama and concerts. The show is produced and directed by The great George Tyson. So far bado hutajaamua jina gani tulitumie kwa ajili ya kipindi lakini nafikiri itaanza kuruka sometimes this year:'
wengine sijuhi ila prof. Jayu ni madawa ya kulevya yanayomuweka hapo alipo, thats all.
I think magazine imesema kuwa ni Gross . . . . Of course Authentication in Tanzania is never possible. Hata hao wanaodhaniwa kuwa wanalipa kodi bado zinachakachuliwa.
So assumption ya hapa ni kwenda kwa makisio na kinachoonekana kwa macho.
Juu ya thamani ya nyumba ya Professor Jay inayoonyeshwa katika blogs mbalimbali na pia niliona kwebnye TV, yes it is possible for maana kwa sasa vifaa vya ujenzi viko juu sana: Cement; Tiles; Vigae; Cereamics; Plumbing; Electricity nk.
Waiopitia experience ya ujenzi siku za karibuni wanaweza wakawatoa maoni yao. Pia Market value huwa iko juu kuliko gharama za ujenzi.
SMH (JF Mods,nakumbukia ile BAN)lol, TF hayupo, ndio alikuwepo kwenye msiba,sasa mbona hukumsalimu mwenzio jamani?
Niko poa kabisa, nafurah kusikia umeshaanza maandalizi fulani....haya ukiwa free,mi nipo uraiani!
Wengine sijuhi ila Prof. JAYU ni MADAWA YA KULEVYA yanayomuweka hapo alipo, thats all.
Madam Rita namkubali na anajua haswaa anataka kufanya nini, Sinta sijamuelewa vizuri lakini nina imani akijipanga vizuri pia anaweza kufanya Talk Show nzuri kumzidi hata Joyce...!
Haaaa haaaa nilitaka nijitambulishe kwake kuwa mimi ni Mwanakijiji nikaona atanishtukia. Nilimsalimia. Kijana wetu yuko poa sana. Ila hakunigundua.
Bora hayupo, angekuwa kisha niwekea kiwingu.
Sfari hii Posa Kilimanjaro. Non Stop.
Yeah TF yuko poa sana....mwache akae huko aliko, everything happens for a reason...lol
Wahisha hiyo posa, natafuta mtaji wa kuanzia biashara...!
Haaaa haaaa hiyo kali Miche, kama posa haitatosha kwa mtaji itakuwaje?
Kama vipi nimabie kama unaweza kuwa Msanii kama JD tufanye kweli . . .
Ila naku-RAV4 sana. Ile Avatar ya zamani niaje?