Umechemsha kubwa mzee yussuf au kwa vile anaimba taarabu??
Kwa taarifa yako ana nyumba kumi hapa mjini
ana duka quality centre
ana banda ana maduka ya nguo na spare magomeni na kariakoo
na pia anautajri wa wake upo hapo??
Bado hatujaongelea pesa za bank
kalangabao na kina ray wako