Wasanii kumi wa bongo flava waliobadili a.k.a zao
Professor Jay
Mkongwe huyu alietokea kundi la Hard Blasters Crew (HBC), mwanzoni alikua anajiita Nigga Jay lakini baadae akaja na jina la Professor Jay.
Joh Makini
Wengi wameanza kumsikia baada ya kutoa ‘hao' ambapo alikua anatumia jina la Joh Makini, kabla ya hapo wakati anaanza mziki(hajatoka) alikua anajulikana kwa jina la Rapcha.
Shaa
Mdada ambae alitokea kundi la cocacola popstars la wakilisha ambapo alikua anajulikana kwa jina la Sarah, baada ya kuanza solo projects ndo akajiita shaa.
Mr Blue
Huyu jamaa alikua anajiita Lil Sama, baada ya kutoka na nyimbo ya blue ndipo watu wakaanza kumuita Mr Blue had leo jina la Lil Sama limesahaulika kabisa na anatamba na jina la Mr Blue.
Nyandu Tozi
Wakati yuko Dar Skendo na kaka mkubwa Dudu Baya alikua anatambulika kama Dogo Hamidu, baadae mwenyewe aliamua kuliua jina la dogo Hamidu na kujiita Nyandu Tozi.
Q Chillah
Enzi hizo anaanza game alikua anajulikana kwa jina la Q Chief, baadae akabadili a.k.a na kuanza kujiita Q Chillah.
Sugu
Kwa sasa ni mbunge wa Mbeya(M), lakini bado anatambulika kama msanii wa Bongo flava na mmoja kati ya wakongwe wa mziki huo. Alianza miaka ya mwanzoni mwa 1990 na jina la 2 Proud na baadae Mr Two hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 alipojiita Sugu.
Nikki wa Pili
Wengi walianza kumjua baada ya kushirikishwa na kaka yake Joh makini kwenye Niaje, Ni vipi. Kabla ya hapo alikua anajiita Nikki Makini lakini aliamua kubadili jina na kujiita Nikki wa Pili.
Ongezea...
Professor Jay
Mkongwe huyu alietokea kundi la Hard Blasters Crew (HBC), mwanzoni alikua anajiita Nigga Jay lakini baadae akaja na jina la Professor Jay.
Joh Makini
Wengi wameanza kumsikia baada ya kutoa ‘hao' ambapo alikua anatumia jina la Joh Makini, kabla ya hapo wakati anaanza mziki(hajatoka) alikua anajulikana kwa jina la Rapcha.
Shaa
Mdada ambae alitokea kundi la cocacola popstars la wakilisha ambapo alikua anajulikana kwa jina la Sarah, baada ya kuanza solo projects ndo akajiita shaa.
Mr Blue
Huyu jamaa alikua anajiita Lil Sama, baada ya kutoka na nyimbo ya blue ndipo watu wakaanza kumuita Mr Blue had leo jina la Lil Sama limesahaulika kabisa na anatamba na jina la Mr Blue.
Nyandu Tozi
Wakati yuko Dar Skendo na kaka mkubwa Dudu Baya alikua anatambulika kama Dogo Hamidu, baadae mwenyewe aliamua kuliua jina la dogo Hamidu na kujiita Nyandu Tozi.
Q Chillah
Enzi hizo anaanza game alikua anajulikana kwa jina la Q Chief, baadae akabadili a.k.a na kuanza kujiita Q Chillah.
Sugu
Kwa sasa ni mbunge wa Mbeya(M), lakini bado anatambulika kama msanii wa Bongo flava na mmoja kati ya wakongwe wa mziki huo. Alianza miaka ya mwanzoni mwa 1990 na jina la 2 Proud na baadae Mr Two hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 alipojiita Sugu.
Nikki wa Pili
Wengi walianza kumjua baada ya kushirikishwa na kaka yake Joh makini kwenye Niaje, Ni vipi. Kabla ya hapo alikua anajiita Nikki Makini lakini aliamua kubadili jina na kujiita Nikki wa Pili.
Ongezea...