Mafisadi ni wasaliti pia, wameamua kusaliti kiapo chao cha kutumikia wananchi na badala yake wanaiba..
Hivyo basi, Mafisadi = Wasaliti..
Wasaliti ni Mafisadi ambao wanaamua kusaliti makubaliano waliyojiwekea na wengine ili kulinda maslahi yao (iwe maisha, fedha au mali)..
Hivyo basi, Wasaliti = Mafisadi..
Jibu tosha.
Hakuna aliye bora hata kidogo.