Jaji Warioba amenukuliwa leo na gazeti la Raia Tanzania akisema kitakachopendekezwa na Bunge la Katiba Dodoma ni Katiba ya watawala na si Katiba ya wananchi, anatoa mifano juu ya kinachoendelea yaani Sitta anakusanya maoni ya vikundi vya kiutawala kama ALAT.
Je, yuko sahihi? Wananchi wataambulie chochote cha maana katika katiba hiyo?
Je, yuko sahihi? Wananchi wataambulie chochote cha maana katika katiba hiyo?