Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 9,425
- 8,896
Kiujumla hakuna kiongozi mbaya kama kiongozi neutral, tunahitaji kiongozi mwenye misimamo thabiti na iliyowazi kuwa anatetea kipi na anakemea kipi,
Salim anakosa sifa hii, career yake ya diplomasia ni ya u neutral, kupatanisha sehemu mbili haihitaji uwe na msimamo wa upande wowote bali hata kama unajua mkosaji unatakiwa kumung'unya maneno tu na kufumbia macho.
Wakuu, Salim anafanana kabisa na JK, ni mtu anaetaka kupendwa na kila mtu, ni mtu asiye na uwezo wa kukemea jambo kwa nguvu(strongly condeming) na ni mtu asiye na uwezo wa kufanya maamuzi magumu. Kulipatia taifa kiongozi kama salim ni sawasawa na kulizika kabisa.
Salim anakosa sifa hii, career yake ya diplomasia ni ya u neutral, kupatanisha sehemu mbili haihitaji uwe na msimamo wa upande wowote bali hata kama unajua mkosaji unatakiwa kumung'unya maneno tu na kufumbia macho.
Wakuu, Salim anafanana kabisa na JK, ni mtu anaetaka kupendwa na kila mtu, ni mtu asiye na uwezo wa kukemea jambo kwa nguvu(strongly condeming) na ni mtu asiye na uwezo wa kufanya maamuzi magumu. Kulipatia taifa kiongozi kama salim ni sawasawa na kulizika kabisa.