senator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 1,924
- 66
Mwaka huu Tanzania hatuna mwakilishi..hawa mamiss nadhan wangekuwa wanashindanishwa kiMabara..sidhani kama mshiriki wetu anaweza kuwa bora zaidi ya nchi nyingine za africa..mwaka huu wamekaa kichovuchovu tu...Tuwe na Miss Africa wetu akashindane na wengine wa mabara mengine...vinginevyo hawa mabinti wataendelea kuwa chakula cha hao mapedejee!!!