Manyerere leo nikupongeze kwa kuwa mwazi na kuacha uoga kama waandishi wengine walivyo waoga hasa wa IPP Media ambao kama vile wamerogwa kila siku kututangazia porojo za Rwanda ambazo hatuzitaki...! Ni vizuri pia na TFF wakapeleka CECAFA barua kutaka like kombe la ubingwa wa kanda kuwa Kombe la CECAFA sio kuita kombe la kagame....! Huyu jamaa ni Kagame na kagenge chake cha wahuni ni washenzi na dawa ya mshenzi ni kumminya p.u.m.b.u tu...! Kwa mtazamo wangu tatizo sio Watutsi bali tatizo ni Kagame na kagenge chake cha wahuni wasiozidi 2,000 wakiongozwa na hawa akina Kabarebe, Jack Nziza, Karake n.k....! As per your wishes kwamba safari ya Kivu iishie Kigali, hilo pia nami nimelisema mara nyingi hapa JF....inshallah tutakunywa chai Kigali....April 2014 mbali sana!
wewe utakuwa m 23 ulieponea kifo chupu chupu huko goma.
JF naomba muiweke hii, mkipenda, nadhani ninyi ni moderators wa mijadala ya pande zote, sio ku promote agenda za upande mmoja. Leo nataka nizungumzie conduct ya mwandishi wetu Manyerere Jackton, mwandishi nguri, mkongwe ambaye alikuwa anaandikia gazeti la Rai. Siku hizi nadhani yupo gazeti jipya la Jamhuri. Manyerere ameandika waraka, na ndani ya waraka huo ambao umepata comments nyingi, ametaja yafuatayo: 1. Kwamba Tanzania iivamie Rwanda, ifagie ikiwa ni namna ya kulipiza kisasa kwa meja aliyekufa Goma na kuisaidia Congo ipate amani. 2. Amewashambulia kabila la Watusi waziwazi na kuwaita majina ya kibaguzi sana. 3. ameandika kwa jazba eti Tanzania ijitoe kwenye EAC. Angekuwa mtoa maoni yoyote, tungeacha tu, lakini huyu ni mtu mwenye kalamu na fursa ya kumili gazeti, anaweza kulitumia gazeti lake kuwa kama Kangura la Rwanda wakati wa genocide. Sasa inakuwaje pale mwandishi anapohamasisha vita na nchi jirani? Inakuwaje pale mwandishi anapoonyesha chuki kwa jamii Fulani, hata kama ni kabila la nchi jirani? Je, Manyerere ni mwandishi kweli? maadili ya uandishi yanasemaje?
JF naomba muiweke hii, mkipenda, nadhani ninyi ni moderators wa mijadala ya pande zote, sio ku promote agenda za upande mmoja. Leo nataka nizungumzie conduct ya mwandishi wetu Manyerere Jackton, mwandishi nguri, mkongwe ambaye alikuwa anaandikia gazeti la Rai. Siku hizi nadhani yupo gazeti jipya la Jamhuri. Manyerere ameandika waraka, na ndani ya waraka huo ambao umepata comments nyingi, ametaja yafuatayo: 1. Kwamba Tanzania iivamie Rwanda, ifagie ikiwa ni namna ya kulipiza kisasa kwa meja aliyekufa Goma na kuisaidia Congo ipate amani. 2. Amewashambulia kabila la Watusi waziwazi na kuwaita majina ya kibaguzi sana. 3. ameandika kwa jazba eti Tanzania ijitoe kwenye EAC. Angekuwa mtoa maoni yoyote, tungeacha tu, lakini huyu ni mtu mwenye kalamu na fursa ya kumili gazeti, anaweza kulitumia gazeti lake kuwa kama Kangura la Rwanda wakati wa genocide. Sasa inakuwaje pale mwandishi anapohamasisha vita na nchi jirani? Inakuwaje pale mwandishi anapoonyesha chuki kwa jamii Fulani, hata kama ni kabila la nchi jirani? Je, Manyerere ni mwandishi kweli? maadili ya uandishi yanasemaje?
Kagame hajagombana na Tanzania wamepishana maneno na JK, na wamemwomba Museveni awapatinishe, aidha maelekezo ya UN, Waziri Membe aliyatolea ufafanuzi mzuri tu ni kuhakikisha hakuna movement ya M23 au RPF kati ya mpaka wa Rwanda na DRC na Marekani walitaka wapeleke drones kwa ajili ya uchunguzi wa military movement across the border sasa wewe unaposema waishambulie Rwanda na waishie Kigali ni kwa maelekezo ya nani? Bila shaka wewe umezaliwa baada ya vita ya Tanzania na Uganda na sidhani kama JKT ulipitia, usingetoa mapendekezo haya, or else watu mnatumika kutaka ku divert attention yetu ya 2015 msingizie kuna vita msogeze mbele uchaguzi hatutaki na hatupigani na mtu!
Wapigwe tu Rwanda tumeshachoka
Ikiwa Kagame alianzisha mzozo kwa sababu tu ya kushauriwa azungumze na wagomvi wake, basi hicho kikao cha dharura alichoitisha M7 tar 4/9 mjini Kampala, kama ni cha mazungumzo tu na kitamhusisha Kagame, Kikwete na asiende, ikibidi amshauri na Kabila pia asiende, wakakae wenyewe kama walivyokaa EAC na kuitenga Tz. Kwa sasa mitutu kule Congo iendelee kurindima mpaka wanaume waende wakamhemee Kagame kwenye mipaka yake ya Rwanda huku akijua anaweza kufanywa lolote na asiweze kufanya lolote kujitetea na kajeshi kake anakoringia. Mavi yakimbana kisawasawa ataomba mwenyewe
mazungumzo, kwa sasa namsihi Rais wetu asiende kuongea na fedhuli Kagame na wala asiongee chochote kuhusiana na masuala yanayohusu Rwanda, huo muda na gharama za kwenda huko ni bora akautumia kwenda Mikoani kuhamasisha maendeleo ya humu nchini mwake.
Wapigwe tu Rwanda tumeshachoka
JF naomba muiweke hii, mkipenda, nadhani ninyi ni moderators wa mijadala ya pande zote, sio ku promote agenda za upande mmoja. Leo nataka nizungumzie conduct ya mwandishi wetu Manyerere Jackton, mwandishi nguri, mkongwe ambaye alikuwa anaandikia gazeti la Rai. Siku hizi nadhani yupo gazeti jipya la Jamhuri. Manyerere ameandika waraka, na ndani ya waraka huo ambao umepata comments nyingi, ametaja yafuatayo: 1. Kwamba Tanzania iivamie Rwanda, ifagie ikiwa ni namna ya kulipiza kisasa kwa meja aliyekufa Goma na kuisaidia Congo ipate amani. 2. Amewashambulia kabila la Watusi waziwazi na kuwaita majina ya kibaguzi sana. 3. ameandika kwa jazba eti Tanzania ijitoe kwenye EAC. Angekuwa mtoa maoni yoyote, tungeacha tu, lakini huyu ni mtu mwenye kalamu na fursa ya kumili gazeti, anaweza kulitumia gazeti lake kuwa kama Kangura la Rwanda wakati wa genocide. Sasa inakuwaje pale mwandishi anapohamasisha vita na nchi jirani? Inakuwaje pale mwandishi anapoonyesha chuki kwa jamii Fulani, hata kama ni kabila la nchi jirani? Je, Manyerere ni mwandishi kweli? maadili ya uandishi yanasemaje?
hujui kinachokuchosha...naamini si rwanda bali ujinga wako tu...msitake kutuingiza kwenye vita maisha yalivokuwa magumu kwa sasa bila vita tukiingia vita mtakula nyasi kama alivowahi kuahidi waziri mmoja...unajua maisha ya ukimbizi au unafikiri vita ni sawa na mechi za mpira....
Kama una huruma, anza kuwahurumia mamilioni ya binadamu wanaotesema Mashariki mwa DRC kwa baraka za Kagame.
TANZANIA. TUNAO UHURU WA KUTOA MAONI .......HAPA MTU ANAO UWEZO WA KUMSEMA HATA RAIS NA JIONI AKARUDI NYUMBANI KULALA NA MKEWE.......( pamoja na kuwa Kampe haki hiyo Mgeni hatumpi)..
KAMA MANYERERE AMEKUKWAZA ATASHUGHULIKIWA KWA UTARATBU ..LAKINI HATUHITAJI KUAMBIWA NA MTU BAKI.....
KWANZA MNA BAHATI SANA TUNAWAACHIA MNATOA PROPAGANDA NA KU DIVERT ATTENTION MKIJIFANYA WAPINZANI .....KWENYE MASUALA YA KITAIFA HASA AMANI HAPA KUNA WATANZANIA .....UCHAGUZI UTAFSNYIKA ....TOFAUTI NA RWANDA AMBAKO HAWAJUI KAGAME ANAONDOKA LINI.......
KWANZA KWENYE FORUM ZA RWANDA TUNAINGIA KUJIBU HOJA DHIDI YA NCHI YETU ....MAONI YOTE HADI YAFANYIWE SCREENED ...HAMNA UHURU !!!!!! HAPA MNATOA MAONI HATA DHIDI YA RAIS WETU NA MAONI YENU YANAACHIWA HAYABANWI....