ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,345
- 2,953
Nyie ndio tunawatafuta tuwavue uraia kwa kuwapeleka jeshini,kule ni mwendo wa ndio afande...,thitaki ya kimdebwedo hakuna kule.jidanganye, vita haina macho wewe! Namibia, Angola, Congo na Zimbabwe wamechemsha. Mi sitaki vita. Kikwete aache unafiki kwa wazungu kupeleka umbea