Waraka wangu kwa JWTZ, Watanzania

Manyerere anazungumzia Dola ya Bahima wakati hajui hata hilo kabila ni akina nani! Masikini mwandishi mjinga. Hajui kuwa propagandists wa hii dola walikuwa wanamwingiza hata Baba wa Taifa Nyerere kuwa yeye ndo kinara anaowatumia vijana wake Museveni na Kagame, sasa na wewe unadandia treni usiojua inakokwenda. Sipendi kuona mwandishi makini anaandika upuuzi, sipendi kabisa. Nilidhani upuuzi unaandikwa na akina Mtikila au wanaotoa comment humu ambao ni watu tu wa kawaida, hata Manyerere? aliyelelewa na kula nafaka kwa Nyerere? Jamani, uandishi Tanzania unaelekea kubaya. Manyerere ingia google, tafuta Tutsi, then Hima, then Bairu, then Hutu... then utajua tofauti. Kuhusu vita kuhitimishwa Kigali, nadhani Manyerere amevurugikiwa akiri. Vita Enzi hizi ambazo watu wanaangalia uchumi na kushirikiana? Ona sasa unazungumzia kuingia EAC ikiwa ni mkakati wa Himaya, huoni Kenyatta ana take advantage ya matatizo yetu kujinufaisha? Wakati tunapiga kelele za empire, kupeleka majeshi kuwasaidi wacheza ndombolo, Kenyatta anazindua bandari na kuweka mpango wa kuhakikisha inatumiwa. We upo tu kwenye Hima empire. Na hujui kuwa ili upigane vita Enzi hizi lazima ui-convice UN, Marekani, etc. Hujui kuwa Congo iko vile kwasababu kuna dola dhaifu, na kuna utamaduni wa uasi tangu Enzi za Mobutu? Sasa unaleta hadithi za Hima empire hapa, kweli nimekudharau, you are an empty basket.

Kaka una hasira, tulia kidogo basi, hata kama umeguswa kwenye masilahi yako kuwa mvumilivu unywe dawa. Inaonekana wewe na hao wanyaru ni kitu kimoja. Nawasiwasi na hilo jina lako si la hawa ndugu zetu wa bukoba. Kama mlifikiri wa bongo ni wacheza ndombolo mjue mmekosea.
Na uvivu wako wa kuelewa umeacha mtazamo mzima wa habari unakimbia BAHIMA tu, au wewe ni bahima nini?
 
Ukifa wakati ukiwatetea wanyonge wenzako ni thawabu kubwa. Mungu akipenda tutaushuhudia ukombozi wa Wacongo kabla ya kufa kwetu.

nenda nawewe ukaichukue hiyo thawabu kubwa! mkuu hebu acha kejeli kwa wafiwa hujui wategemezi wao wanabaki katika hali gani! unachefua sana! nilikuwa nakuheshimu sana kabla!
 
Manyerere,

Hivi kweli Rwanda hana maslahi Congo? Mnyonge mnyongeni haki yake mpe. Mwaka 1994 kulitokea genocide. We unawaonea huruma waliokufa kwenye ndege ya rais, na sio wanawake, watoto, nk. walliouwawa kikatili sana na wahutu wenye msimamo mkali, ambao baadae walienda Congo, ambako wapo hadi leo. Na viongozi wao ni walewale waliopanga na kufanya genocide.

FDLR kazi yao ni moja, kuja kumaliza kazi. Hivi pale Congo kungekuwa na kikundi chenye msimamo wa kuiangamiza Tanzania tungekaa na kusubiri tu? Nadhani Rwanda kuwa na mkono wake Congo kuna self-defence justification.

Kuhusu wizi wa madini, ndio, lakini uje kuwa haya madini yanaenda ngambo, yanachimbwa na watu wenye mtaji na teknologia, sio wana-mgambo wa M23 wenye afya mbaya.

Kuhusu EAC, some Treaty inasemaje, kasha uishauri Tanzania cha kufanya, usi-argue kama watoa maoni wa JF. Kuhusu bandari, hili sio suala la uzalendo, ni suala la biashara, watanzania wengi hupitisha magari yao Mombasa, then Horiri.

Kuhusu Watutsi, sioni kama ni jukumu lako kama mwandishi kushambulia kabila Zima, kama Kagame ana siasa ambazo hazikupendezi, basi shughulika nae.

Sidhani kama ni sahihi kuwashambulia Wakwere kwa makosa ya JK, hiyo ndo inachochea genocide. Ndege ya rais ilivyotunguliwa, wahutu walisema imetnguliwa na Watutsi, wakaua hadi motto mchanga, wakati maskini labda alikuwa ni Kagame na jeshi lake.

So, ninaposema ume-nidsappoint, ni kwamba mwandishi mwenye hadhi yako, hapaswi kuandika akiwa na hasira, anaandika kwa hoja kuisaidia jamii kufanya maamuzi sahihi. Au la, usiitumikie jamii kama mwandishi, nenda omba kazi jeshini, fanya mambo ya kizalendo zaidi, au hata mgambo.

Lakini kumbuka kalamu yako inaweza kuanzisha vita saa yoyote, ndoo maana waandishi wa Rwanda wamehukumia ICTR, yule Joshua Arap Sang wa Kenya yupo the Hague, etc. Leo hii humu ndani kuna uchochezi, mgao wa umeme Kagera wanasema ni Kagame, Bandari watu walitunga uongo, vichwa vya habari eti ni kagame., etc. hata kama hatumpendi waandishi wa habari lazima wawe weledi sio wachochezi
 
Manyerere anazungumzia Dola ya Bahima wakati hajui hata hilo kabila ni akina nani! Masikini mwandishi mjinga. Hajui kuwa propagandists wa hii dola walikuwa wanamwingiza hata Baba wa Taifa Nyerere kuwa yeye ndo kinara anaowatumia vijana wake Museveni na Kagame, sasa na wewe unadandia treni usiojua inakokwenda. Sipendi kuona mwandishi makini anaandika upuuzi, sipendi kabisa. Nilidhani upuuzi unaandikwa na akina Mtikila au wanaotoa comment humu ambao ni watu tu wa kawaida, hata Manyerere? aliyelelewa na kula nafaka kwa Nyerere? Jamani, uandishi Tanzania unaelekea kubaya. Manyerere ingia google, tafuta Tutsi, then Hima, then Bairu, then Hutu... then utajua tofauti. Kuhusu vita kuhitimishwa Kigali, nadhani Manyerere amevurugikiwa akiri. Vita Enzi hizi ambazo watu wanaangalia uchumi na kushirikiana? Ona sasa unazungumzia kuingia EAC ikiwa ni mkakati wa Himaya, huoni Kenyatta ana take advantage ya matatizo yetu kujinufaisha? Wakati tunapiga kelele za empire, kupeleka majeshi kuwasaidi wacheza ndombolo, Kenyatta anazindua bandari na kuweka mpango wa kuhakikisha inatumiwa. We upo tu kwenye Hima empire. Na hujui kuwa ili upigane vita Enzi hizi lazima ui-convice UN, Marekani, etc. Hujui kuwa Congo iko vile kwasababu kuna dola dhaifu, na kuna utamaduni wa uasi tangu Enzi za Mobutu? Sasa unaleta hadithi za Hima empire hapa, kweli nimekudharau, you are an empty basket.

Kwani ukiandika bila kutukana mtoa mada unadhani watu hawatakuelewa???? Tatizo lako kubwa ni kwa kuwa unatofautiana na mtu ki mtizamo basi yeye ni mjinga... hii si sahihi. Pili Vita ni sehem ya maisha if necessary. .. je Kenye haiko vitani na Al Shabab Somalia? Ni kwa nini? Utakacho kuja nacho ni mlinganisho na utofauti wa vita tu lakini askari na raia wanakufa......... unacho sema ni jirani yako akiingiliwa hata akiwa anapiga kelele kuomba msaada wewe utavuta shuka lakini mleta mada ana mtizamo tofauti, yeye hatavuta shuka bali atafungua mlango na kwenda kupambana, ni mawazo tu waweza yakataa mawazo yake bila matusi maana kila mTz anajua kutukana..........mnaweza kukubaliana kwenye kuto kukubaliana.....matusi yako yanakera......
 
Hongera kwa hoja nzuri, mara nyingi nimekuwa nasema huku jf amani ya kweli afrika mashariki na eneo la maziwa makuu itapatikana tu baada ya viongozi hawa wenye tamaa mbaya ya mali, roho za watu na kupora mali za wengine kama museveni na dikteta kagame kuondoshwa madarakani kwa namna yoyote ile kwa ustawi wa nchi zetu.
 
kwani ukiandika bila kutukana mtoa mada unadhani watu hawatakuelewa???? Tatizo lako kubwa ni kwa kuwa unatofautiana na mtu ki mtizamo basi yeye ni mjinga... Hii si sahihi. Pili vita ni sehem ya maisha if necessary. .. Je kenye haiko vitani na al shabab somalia? Ni kwa nini? Utakacho kuja nacho ni mlinganisho na utofauti wa vita tu lakini askari na raia wanakufa......... Unacho sema ni jirani yako akiingiliwa hata akiwa anapiga kelele kuomba msaada wewe utavuta shuka lakini mleta mada ana mtizamo tofauti, yeye hatavuta shuka bali atafungua mlango na kwenda kupambana, ni mawazo tu waweza yakataa mawazo yake bila matusi maana kila mtz anajua kutukana..........mnaweza kukubaliana kwenye kuto kukubaliana.....matusi yako yanakera......

matusi kwenye mjadala ni dalili za mwalifu kujaribu kuuficha ukweli, achana na huyo m..e..n,,d,,e atakukutia kisirani kazi moja ya watanzaia na wapenda amani wote duniani ni kuhakikisha kuwa nyoka kagame anapondwa pondwa kichwa.
 
Nimesoma waraka wako nimeshindwa kuelewa;

1.0 Kichwa cha habari na content yenyewe. Kwa nini uliamua kuuita waraka kwa JWTZ??

2.0 Vita ni fedha. Kwa hali ya sasa ya Tanzania hatutakiwi kupigana vita yoyote ile. Nchi iliyoshindwa kujitegemea kibajeti tokea uhuru mpaka leo, bado inategemea misaada ku "subsirdise" bajeti yake halafu ikapigane vita!!!

Nashindwa kuelewa mwandishi kama wewe unameshindwaje kuelewa kuwa Tanzania ya JK hali ya uchumi ni mbaya labda kuliko hata Mkapa alipokuwa akiondoka. Kama serikali inashindwa kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kukosa fedha itawezaje kugharamia vita ambayo ni ghari kuliko miradi ya maendeleo??? Deni la Taifa kila siku linakuwa kama mimba lakini hatuoni kinachofanyika kisha tukapigane vita!!! Ni jambo la kushangaza sana.

Ukweli kama hujui tukusaidie, serikali ya sasa imebaki kulipa mishahara tu na kupiga propaganda kuwa uchumi unakuwa kwa asilimia fulani huku mwananchi wa chini akizidi kuzama katika dimbwi la umaskini.

3.0 Umeshawahi kujiuliza athari za vita tuliyopigana ya kumng'a Iddy Amini?? Ile vita ilikuwa haikwepeki lakini uchumi wa nchi ulitetereka sana, itakuwaje leo Taifa la kujisifu kwa kupewa misaada tukapigane vita??

Kwangu mimi huu ni waraka wa kishabiki na kipuuzi kabisa.
 
Manyerere anazungumzia Dola ya Bahima wakati hajui hata hilo kabila ni akina nani! Masikini mwandishi mjinga. Hajui kuwa propagandists wa hii dola walikuwa wanamwingiza hata Baba wa Taifa Nyerere kuwa yeye ndo kinara anaowatumia vijana wake Museveni na Kagame, sasa na wewe unadandia treni usiojua inakokwenda. Sipendi kuona mwandishi makini anaandika upuuzi, sipendi kabisa. Nilidhani upuuzi unaandikwa na akina Mtikila au wanaotoa comment humu ambao ni watu tu wa kawaida, hata Manyerere? aliyelelewa na kula nafaka kwa Nyerere? Jamani, uandishi Tanzania unaelekea kubaya. Manyerere ingia google, tafuta Tutsi, then Hima, then Bairu, then Hutu... then utajua tofauti. Kuhusu vita kuhitimishwa Kigali, nadhani Manyerere amevurugikiwa akiri. Vita Enzi hizi ambazo watu wanaangalia uchumi na kushirikiana? Ona sasa unazungumzia kuingia EAC ikiwa ni mkakati wa Himaya, huoni Kenyatta ana take advantage ya matatizo yetu kujinufaisha? Wakati tunapiga kelele za empire, kupeleka majeshi kuwasaidi wacheza ndombolo, Kenyatta anazindua bandari na kuweka mpango wa kuhakikisha inatumiwa. We upo tu kwenye Hima empire. Na hujui kuwa ili upigane vita Enzi hizi lazima ui-convice UN, Marekani, etc. Hujui kuwa Congo iko vile kwasababu kuna dola dhaifu, na kuna utamaduni wa uasi tangu Enzi za Mobutu? Sasa unaleta hadithi za Hima empire hapa, kweli nimekudharau, you are an empty basket.

Kwani Nyerere ni nani??huyo ndo alietuletea majanga kuwajaza watutsi kwenye system ya Tz na kuwasomesha kwa wingi kwa kutumia pesa za kodi zetu wavuja jasho na sasa wamerejea kwenda kumsupport PK....J.Manyerere uko right huu muziki munene the last stop iwe kigali ndo kitaeleweka hawa wote wanaokunanga usikute ndo yale makabila ya mipakani huku tunawaita wahangaza but ndo watutsi hao hao....watu wa dezaini kama yangu hatupatagi uongozi ningewavurumisha wote waondoke huko karagwe na ngara....warudi kwao asap!!!!Hata kama wawe wamekaa miaka 60 hapo karagwe au ngara...wangeondoka tu wakabanane huko kwao.
 
matusi kwenye mjadala ni dalili za mwalifu kujaribu kuuficha ukweli, achana na huyo m..e..n,,d,,e atakukutia kisirani kazi moja ya watanzaia na wapenda amani wote duniani ni kuhakikisha kuwa nyoka kagame anapondwa pondwa kichwa.

Maskini, nakuonea huruma. Utaimba huo wimbo wee mpaka utachoka. Hivi bado hujaenda huko kuwasaidia ndugu zako FDLR? Au unaogopa moto!! Stupid is as Stupid says.
 
mtu akikutukana sharti urudishe tusi, m.e.n.de nadhani wewe
matusi kwenye mjadala ni dalili za mwalifu kujaribu kuuficha ukweli, achana na huyo m..e..n,,d,,e atakukutia kisirani kazi moja ya watanzaia na wapenda amani wote duniani ni kuhakikisha kuwa nyoka kagame anapondwa pondwa kichwa.
 
RUTAJUMBUKIRWA Chanzo cha mauaji ya kimbari ya rwanda ni kuangushwa kwa ndege iliyokuwa imewabeba maraisi wawili wa rwanda na burundi, serikali ya kihutu ya wakati huo tayari ilikuwa imeshakubaliana na kuunda serikali ya mseto lakini kwa uchu wa madaraka wa dikteta kagame aliamua kuanzisha mauaji ya halaiki ili aiingiie ikulu ya kigali na kuendeleza mauaji ya wahutu na raia wengine wasiokuwa watusi. Uhalifu anaouendeleza hadi leo huko drc. Watusi hi hatari sana kwa amani ya ea ni lazima wakomeshwe mara moja kwa uchokozi huu wa kijeshi waliouanzisha,
 
Last edited by a moderator:
nenda nawewe ukaichukue hiyo thawabu kubwa! mkuu hebu acha kejeli kwa wafiwa hujui wategemezi wao wanabaki katika hali gani! unachefua sana! nilikuwa nakuheshimu sana kabla!

Hata raia hawa wa Kongo wana haki ya kuishi kwa amani ndani ya nchi ya nchi yao.
Alafu nadhani unahitaji kujifunza kwanini kuna jeshi.
Usifikiri jeshi lipo kwa ajili ya kuonyesha gwaride siku ya 9 December pale uwanja wa Uhuru.
Moja ya kazi za jeshi ni kama inayofanyoka nchini Kongo.
 
Ruta, unadhani tutakubaliana kwa mambo yote? Haiwezekani. Yapo mawili, matatu tutatofautiana. Wakati mwingine Kagame na rafiki zake watambue kuwa nasi ni Taifa huru tunaostahili heshima na utu. Atambue kuwa vurugu anazofanya DRC kwa ajili ya kupora madini hazikubaliwi na walimwengu wote. Kama una huruma, anza kuwahurumia mamilioni ya binadamu wanaotesema Mashariki mwa DRC kwa baraka za Kagame. Wala usikasirike ndugu yangu. Huu ni mjadala. Tunapeana mawazo. Unaweza kushinda kwa hoja yako ya kutaka mwafaka wa mazungumzo. Wengine tunaona kichapo kwa hawa M23 ambao ni uzao wa Kagame, ni muhimu zaidi. Tuendelee kubadilishana mawazo.
Umenikata maini kwenye mstari wa kuwa Kagame ndiye muasisi wa vita ya Kongo! Kagame ndiye aliyemuua Lumumba? waasi wa miaka na miaka wote walifadhiliwa na Kagame...where is your objectivity here? Sikubaliani na Tanzania kujuhusisha na vita ilhali asilimia 40 ya bajeti yetu ni kutembeza bakuli.
 
Wananchi tuna maisha magumu sana hatuitaji vita na mleta mada umeongea vita vya msingi lakini unakosea unapo sema tumalizie kigal ujue majeshi wengi wanakufa huko bila sisi kujua coz vita havichagui huyu mganda au mtz au mkenye kikiwaka sote tutakwenda na maji mpaka mkuu wa nchi ataingia mitini usione hao mapolis wetu wanakuwana mikwala na kuzunguka na magari barabarani vita vikija tz wote watakimbia hata wewe huto post kitu JF
Hebu acha uoga wa kike ww..watu wanakufa Syria,Iraq,Afghanistan kwani hao ni punda....dawa ya moto ni moto...na sio wote lazima twende front waliopo walijaza form kujiunga na jeshi na tunawalipa kama mm navyofanya kazi nalipwa...mwacheni PK achapwe apunguze kiburi fyuuuu.
 
hata raia hawa wa kongo wana haki ya kuishi kwa amani ndani ya nchi ya nchi yao.
Alafu nadhani unahitaji kujifunza kwanini kuna jeshi.
Usifikiri jeshi lipo kwa ajili ya kuonyesha gwaride siku ya 9 december pale uwanja wa uhuru.
Moja ya kazi ya jeshi ni kama inayofanyoka nchini kongo.

wafuasi wa kagame wanadai raia wa kongo wanastahili kufa na kuporwa ardhi yao kwa sababu tu drc ina serikali dhaifu kijeshi isiyoweza kuwatetea , hili halikubaliki kwa binadamu yeyote mwenye akili timamu, watanzania tuwe kitu kimoja tuwakomboe binadamu wenzetu dhidi ya uovu huu wa watusi
 
Kweli raia wa congo wana haki ya kuishi, nani kawazuia kulinda nchi yao? Congo ina raia 55 million, wana askari 120,000, wana utitili wa utajiri, walinde mipaka yao basi, wasisubiri huruma za Manyerere. Katiba inasema jukumu la kulinda nchi ni la wananchi wake wenyewe, sasa kwanini wasijilinde? nani anailinda Tanzania, si wananchi wake wenyewe?
Hata raia hawa wa Kongo wana haki ya kuishi kwa amani ndani ya nchi ya nchi yao.
Alafu nadhani unahitaji kujifunza kwanini kuna jeshi.
Usifikiri jeshi lipo kwa ajili ya kuonyesha gwaride siku ya 9 December pale uwanja wa Uhuru.
Moja ya kazi ya jeshi ni kama inayofanyoka nchini Kongo.
 
Mzee wa Rula Sikutaka kukujibu, lakini ngoja nijaribu.

Hoja yako ya kwanza sijajua wapi huelewi. Unaweza kuwa sahihi kwa sababu headline za kifilosofi huwa zinawasumbua wengi pale wanapojaribu kuunganisha na hoja iliyo ndani.

Pili, hii vita inagharimiwa na UN, ndiyo maana kuna majeshi hadi kutoka Afrika Kusini. Tunachojaribu kukifanya hapa ni kuhakikisha tunakuwa na minimum causalities kwa askari wetu.

Tatu, kuna maeneo ambayo amani haiji isipokuwa kwa ncha ya upanga! Hatushangilii vita, lakini tuangalie namna Kagame anavyosumbua eneo hili la maziwa makuu.
 
Last edited by a moderator:
umenikata maini kwenye mstari wa kuwa kagame ndiye muasisi wa vita ya kongo! Kagame ndiye aliyemuua lumumba? Waasi wa miaka na miaka wote walifadhiliwa na kagame...where is your objectivity here? Sikubaliani na tanzania kujuhusisha na vita ilhali asilimia 40 ya bajeti yetu ni kutembeza bakuli.

acha unafiki, kwa nini hujakiri kwanza kagame ndiye aliyemuua mzee kabila? Huji wakongo wanachinjwa kama kuku na wahuni wa m 23 ambao wanafadhiliwa na rwanda na kusaidiwa kijeshi na jeshi la rwanda?
 
kweli raia wa congo wana haki ya kuishi, nani kawazuia kulinda nchi yao? Congo ina raia 55 million, wana askari 120,000, wana utitili wa utajiri, walinde mipaka yao basi, wasisubiri huruma za manyerere. Katiba inasema jukumu la kulinda nchi ni la wananchi wake wenyewe, sasa kwanini wasijilinde? Nani anailinda tanzania, si wananchi wake wenyewe?

jirani yako akisahau mlango wake wazi una haki ya kumvamia, kupora mali zake na kumuua? Mungu tusaidie tupambane na hiki kizazi cha kinachofadhiliwa na shetani.
 
Back
Top Bottom